Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Sipati picha Mange Kimambi alivyochanganyikiwa hajui amsaidie nani na wote mashoga zake
 
Zama ana tabia ya unafiki na umbea pia ni mchonganishi mno. Kawaida mtu kama huyu si vizuri kukaa naye karibu au kumfanya kuwa rafiki. Alimfukuzisha Dina Marios kazi pale Clouds.
Kiukweli alinikera alipomtumia Mange clip za Ruge anabembeleza huku analia, I had no doubt ni yeye alimtumia japo sikuamini jinsi anavyojipotray so innocent
 
Mange mbona huwa anaelewana na Zamaradi pia au amemsaliti shoga yake kwa ajili ya hamisa?
 
Yani,,huwa ananifanya nione aibu Mimi,,,yani ni kitu ambacho hakutarajia nahisi,, anaonaga ye ndo kazaa na watu dunia nzimaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimegundua Tununu mtu wa kujilipua sana.. Anajijua hana status/ brand kubwa kama hao wengine so hana cha ku loose akijilipua ... yeye anakuja na ma evidence tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…