Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Kwa hiyo, kwa kifupi, hao wadada wanagombania nguo?

Ha ha ha haaaa

Ngabu jamani nimecheka

Wanagombania wapi alishona nguo yake.. ila ilitoka eeeeh.. ona picha humu na aliyovaaaa

Sasa Hamisa na akiaaidiwa na Mange alitoa hayo kusema Zama alimkimbia kutokushona kwake.. yaani alidai hamisa ndio alimpa mshono zama.

Leo zama karudi baada ya kutukanwa mwizi.. karusha sc ya kuonyesha kwamba yeye ndio alikuwa na mshono.

Alitaka kushoma kwa misa ila wakapishana mida kuweza kukutana.

So akaenda kwa fundi sala sala ndio hao wakamshonea..

Ndio hauo.. mengine naona Numbisa anarusha ndio nasoma..

Nimepitwa naona huko insta

Mie nacheka tu kaka sitaki kuzeeka.. kwa kuwasoma
 
Hamisa alimtumia Mange kurusha hayo instagtam. Mange ana akaunti anazoendeleza yale yake ya kawaida ya kuchamba watu.

Kwa ya kawaida anajifanya bizi sijui nini.. yupo kama kawa

So ndipo walipoanzia.. unajua mange akihusika huwa hakuna hayo

Ila wakabadili kwamba design ya hamisa kumbe waongo

Mengine watajiju

Ila mleta udaku huu uwe unaleta na screeshot za hayo au unayakopi.. sio kuandika yako na kusepa.. hata picha!!!
Mange ana Id nyingi instagram moja ni Jyamaudaku
 
Wanaume wengine ni wajinga sana pumbavu zao.

Mkeo anashikaje simu na kuandika ujinga kama huo na wewe upo?

Na usiku mnalala?

Watu tukistaarabika tukikwazwa tunatafuta njia ya kistaarabu zaidi na kuitumia, siyo kuandika usenge all over.

Binafsi mtu wangu akiweka status whatsapp isiyoeleweka namwambia atoe na hilo siyo la kujadiliwa, ni itolewe. FB siwezi kumcontrol kwakua sipo FB.

Mmoja alipoteza simu nikajichanga nikamnunulia simu, dakika kadhaa naona status 'Am baaaaaaack' nikamwambia toa hiyo status.

Akatoa vizuri tu.

Sasa hawa wengine vipi? Au wanalelewa?
hahaha...eti am baack
 
By @hamisamobetto . . - First Of All Me sio Mtu wa Kujibishana Na watu insta Ndo maana always nakaaga Kimya . ...... Tangia Nimefungua @mobettostyles Kila siku imekua Jipya . Secondly sijawahi Sema Popote kuhusu mshono Wa Shughuli yako wala kuandika kwa My page so probably one of your friends kayapeleka sehemu . My dear ulivyokua hujanialika kwenye shughuli yako nilibezwa kuchekwa kutukanwa and all siku jibu wala ongea popote kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuchagua watu atakao . . Ulinitafta Tumechagua Mishono umeenda shona kwengine sijawah lalamika my dear wala kusikitika Coz ridhki mafungu saba na kila likuepukalo najuaga huwa lina kheri na Mtu . . Hivyo basi kama mtu mzima ungeskia kitu ungenifata na kunambia lakin no umeamua kunichafua just because uweze lala vizuri usiku . #MniacheJamani #MaanaNadhanSikuMkinitoaRoho #MtafurahiaSana

Ila kwa walivyowasikiana Zama ndio alimwambia mshono upi.

Nae anapenda huruma.. duh
 
Moja ya sababu ambazo zinaweza sababisha mtu asiruhusiwe kunyonyesha watoto..ni pamoja na maradhi ya oma ya ini na ndugu yake mkubwa...

Lakini pia anaweza kutonyonyesha kutokana na maziwa kuto toka kabisa

Pia mtu anaweza kutonyenyesha baada ya kuamua tuu ili kulinda mwili wake hasa maziwa kishuka na mabadiliko mengine yanakuja baada ya mtu kuanza kunyonyesha....
Sawa....swali nje ya Mada,
Wenye Ngoma wananyonyesha?
 
Back
Top Bottom