Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

vyote kasoro jinsia.ebu tuwekee picha yako na ya baba yako.tuone kama mnafanana

Mimi baba yangu kopiraitiiii na mimi yaan utafikiri mama yangu ana photocopy machine huko chini upoooo,ukiwa kama nani nikuwekee we elewa tu
 
DNA imemtouch ahahhah mtoto hafanani hata robo zari muhurumie diamond jamani
Kwenye kugawa mbona wote wanagawa,alivyokua akija dar kwa kina katunzi alikuja kufanya whiteparty au,kuingia leba sio tatizo leba hata mbwa anaingia anajifungua akwendreeeeeeeeee alete DNA mbona utrasound walituonyesha Dna ina ugumu ganiii helooo halualaaaa
Mbona hadai DNA za watoto wa Mr Blue,TID,charles Baba au CK?why Domo?
 
Duuu upenzi mbaya!Wema gan ambaye ametulia yupo kimya?bint Sepetu au mwingine?

Ungejua hata wema simpendi ile mbayaaa na nilikua nampenda zari balaaa,lakin wote wana timu,ingekua zari hana timu ya kumtukana wema hapo sawaa lakin wote wanazo ,so nashangaa mnavyotaka kumuona mashavu yakichuma kunde yupo sawa wakati wote wale waleeeee
 
Ungejua hata wema simpendi ile mbayaaa na nilikua nampenda zari balaaa,lakin wote wana timu,ingekua zari hana timu ya kumtukana wema hapo sawaa lakin wote wanazo ,so nashangaa mnavyotaka kumuona mashavu yakichuma kunde yupo sawa wakati wote wale waleeeee
Ukisoma comment zako za nyuma na huo mstar wa mwisho kama ulikua haujui maana ya unafiki basi ndio ulioufanya hapa!yaani kama Wema ni mtoto yuko vile akifika umri wa huyo Bibi Zari sijui atakuaje!!!!Eti wewe haumpendi Wema!!Duuu
 
Tofauti yao mmoja amezungusha papuchi Tanzania mwingine kaisambaza africa na papuchi yake inaonekana dunia nzima....hapo kunammoja kamzidi mwenzie.
 
Tofauti yao mmoja amezungusha papuchi Tanzania mwingine kaisambaza africa na papuchi yake inaonekana dunia nzima....hapo kunammoja kamzidi mwenzie.

Hhahahhahahahahhahahahahhahahahahahaha uwiiiiiiiii hebu nisaidieeee mieeee
 
Menopause inampeleka puta bibi.... Ana mda wa kufwatilia mpaka mbwa wa wema anaitwa nani? Nahitaji kujua maana ya bosslady .... Zari ana level gani jaman? Alijaribu kuwa na level enzi za ivan ila sasa hiv hana lolote levels kina mrs Mengi hawana time na vijembe mxiewwww levels my foot
Umeona eeh?Nimekupendaje sasa?
Huyu sio yule Zari boss lady, kawa cheap sana.
Klyn ndio bosslady bwana, muda wa vijembe anaupata wapi?
 
Zari huyu!Eti Esma ushalipa Tanesco?hapo ndipo ninapochoka na wema,makeke yote yale kumbe mwizi tu hana tofauti na masamaki
 
Ukisoma comment zako za nyuma na huo mstar wa mwisho kama ulikua haujui maana ya unafiki basi ndio ulioufanya hapa!yaani kama Wema ni mtoto yuko vile akifika umri wa huyo Bibi Zari sijui atakuaje!!!!Eti wewe haumpendi Wema!!Duuu

Ok nadhani umemaliza unaweza endelea kukoment
 
Ungejua hata wema simpendi ile mbayaaa na nilikua nampenda zari balaaa,lakin wote wana timu,ingekua zari hana timu ya kumtukana wema hapo sawaa lakin wote wanazo ,so nashangaa mnavyotaka kumuona mashavu yakichuma kunde yupo sawa wakati wote wale waleeeee
Hili ndio wengi hawalijui,wanadhani sisi ni team Wema wakati siyo.
Unakumbuka tulivyokuwa tunamsifia Zari?
Hadi nikagombana na Avemaria kwa kumuita Wema bibi michirizi.
Ila sasa Zari nae kauvamia uswahili na umemnogea mnooo,hadi majina ya mbwa wa Wema anayajua halafu bado anajiita bosslady....
Bosslady zamani sio sasa.
 
Back
Top Bottom