Weka hapa ushahidi hata wa taarifa ya Basata.....Basata wamelifungia,kawaulize sababu.
Kwa ukubwa gani alionao Zari aweze kumzaa Wema? Hawa ni mtu na mdogo wake. Wakikua wataacha malumbanoHuyu zari naye kakosa adabu,kwa umri wake wema ni kama mwanae,anaanzaje kurushiana vijembe na mwanae?
P square ni kundi,kutembea nao wote?katuchosha nae utamfikiri mgeni wa naniliu, akwendree huko, amuache wema keshamuachia Daimond nini kinamkuna, tena wangemvalia njuga aweke DNA na masikio yake ,yeye mwenyewe fake ndio habadilishi mapazia Yale Yale miaka nenda Rudi, ye katembea mpaka na P square hajioni
Wakati tukiwa wengine hatujui tutakula nini wenye maisha na majina wapo msuto digital,, Dunia ya ajabu sanaNi muendelezo wa vita ya maneno isiyoisha kati ya anayejiita Zari The Bosslady na wa kuitwa Tanzanians sweetheart Wema Sepetu.
Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea?
Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema Zari.
Wema nae akajibu huku akisisitiza hana muda na Zari wala kaka (Diamond)
Kama haitoshi akapost picha huku akiweka caption ya kuwa kafunzwa na mamie kugombana na watu wazima (Zari) ni kukosa adabu.
Ndipo Zari nae akamjibu kuwa yuko busy na kazi,asijisumbue.
Nimeatach na screen shots za matukio yote.....
View attachment 317643 View attachment 317644 View attachment 317645 View attachment 317646
View attachment 317731 View attachment 317643 View attachment 317644 View attachment 317645
Hivi zari ni huyo mwenye sura ka michael jackson ?
Haaa...haaa...haaa ! Naonaga kwenye Instagram ya wife jinsi Zari anavyomchokoza Wema. Nilikuwa na interest nae kama demu mmoja mwenye IQ ya juu na well civilized, lakini mmmh.... hatareee !Hebu nitafute tupate walau dinner leo,sio kwa kunifurahisha huku.
Halafu kuna majitu yanamtetea Zari sio mswahili!
Umenifurahisha sana.....
.........hivi wema azae, kaolewa na nani !??? ... daah watu bhana !wema katoa mimba tatu za watu ambao ni mastaa tunawafahamu ,na nyingine nyingi enzi hizo before 20 years,ni halali yake asizae na wala asisite kwenda kuchukua orphan child ili aweze kujifutia machoz
Shoga nilikuwa huko insta nimecheka na kusikitika.Scoop ana maneno jamaniiii khaaaaa
na ataendelea kuzichomoa hizo mimba na kuna uwezekano hata ya idris kachomoa.........hivi wema azae, kaolewa na nani !??? ... daah watu bhana !
... Hivi Zari can be a Brand !?? ..... ni nani anaweza kumtumia kibiashara kama anagawa watu kwa matusi hivii !Umeona eeh?Kachosha sasa,siku atakayopigwa chini na Dai ndipo atakapojuta kuifahamu Tz.
Utakufa mdomo wazi mwana mjaa laana wewe.wema katoa mimba tatu za watu ambao ni mastaa tunawafahamu ,na nyingine nyingi enzi hizo before 20 years,ni halali yake asizae na wala asisite kwenda kuchukua orphan child ili aweze kujifutia machoz
.....una ushuhuda wa kuingia kabla kuzichomoa !?na ataendelea kuzichomoa hizo mimba na kuna uwezekano hata ya idris kachomoa