Malyakishu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,968
- 2,347
Tufungue tu duka la spea za boda boda na bajaji lipstick hazilipi ha ha ha no wateja pamoja na kufanya sale punguzo kubwa kabisaaaa bado hawanunui watejaaa watejaaa qmanyokoooo in remmy's voice
Mxiuuuu kwa lipstick gani? Ukipaka kama umelamba juice cola hazina ubora hata kidogo bora tupake velay tyuuu