Malyakishu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,968
- 2,347
Tufungue tu duka la spea za boda boda na bajaji lipstick hazilipi ha ha ha no wateja pamoja na kufanya sale punguzo kubwa kabisaaaa bado hawanunui watejaaa watejaaa qmanyokoooo in remmy's voice
Ha ha ha juice kola mixer sunvita....maana loooh.Mxiuuuu kwa lipstick gani? Ukipaka kama umelamba juice cola hazina ubora hata kidogo bora tupake velay tyuuu
Angeenda shule ingekuwa magoli sana.....sasa zero brain.Hajifunzi kwa kina kyln na Faraja.Asingekosa kazi katika sekta nzuri hapa nchini.Pussypower
Ha ha ha WemaNani huyo kama angeenda shule?
Ha ha ha au tuendelee na lip bam zetu za buku bukuMxiuuuu kwa lipstick gani? Ukipaka kama umelamba juice cola hazina ubora hata kidogo bora tupake velay tyuuu
hao wanaoponda wenzao wana sura mbaya wenywe ndio wabovu kupindukia...Mjitu umejibanza sehemu na cmu ya mchina, mbembedo zimejaa uso mzima halafu mnaponda fulani anasura mbaya,kabla ya kukashfu tupiamo tupicha twako tuwili tutatu halafu tuone.
Ha ha ha Wema
Shule hakuna form four alitaga, 0 divisionAngeenda shule ingekuwa magoli sana.....sasa zero brain.Hajifunzi kwa kina kyln na Faraja.Asingekosa kazi katika sekta nzuri hapa nchini.Pussypower
Sasa anakuwaga na guts gani za kusema wenzie vbaya?Hata level certificate ni shida au ka diploma kakuzugia?Ipo shida aiseeHa!!!!
Huyo hana uwezo wa kiakili wa kumudu masomo ya shule za kuingia darasani na kumsikiliza mwalimu na kuweza kuelewa alichofundishwa.
Hivi ushawahi kuona jinsi anavyoandika? Unaweza kuishia kuona aibu kwa niaba yake.
Huko sijui Twitter au Instagram nahisi kuna mtu huwa anamwandikia hayo anayoyaandikaga.
Yeye kama yeye ni majanga.
Loooooh!!!!Malaysia aliendaga kusoma nini?nilicheka juzi hapa nilikuwa ktk graduu ya mdogo wangu chuo cha diplomasia alikuwa anafanya postgraduate ya economic diplomacy....Rio amegraduate ngazi ya cheti tena kaisoma miaka zaidi ya 2 Larkin anajiita mwanadiplomasia ha ha haShule hakuna form four alitaga, 0 division
Ingekua kipindi hiki tungesema ame pass kwa division five ha ha ha
Huko malyasia sijui alisona nini labda alienda kusomea mapishi..... Rio huyu shoga kidawa?Loooooh!!!!Malaysia aliendaga kusoma nini?nilicheka juzi hapa nilikuwa ktk graduu ya mdogo wangu chuo cha diplomasia alikuwa anafanya postgraduate ya economic diplomacy....Rio amegraduate ngazi ya cheti tena kaisoma miaka zaidi ya 2 Larkin anajiita mwanadiplomasia ha ha ha
Sasa anakuwaga na guts gani za kusema wenzie vbaya?Hata level certificate ni shida au ka diploma kakuzugia?Ipo shida aisee
Ya kawaida hayo kwa mastaa watu wanajirekodi kabisa wanazisambaza wenyewe sembuse yeye ajali kaziniWadada wa mjini wana mambo makubwa. Nimebaki natoa macho tuu. Maskini Zari hyo video yake jamani aaaghhhh watoto wake! ππ‘π‘π‘π
"Wanyaturu laivu" ππKwani kuna ugumu gani kumsema mtu vibaya ukiwa umejificha sehemu? Teknolojia imezalisha watu wenye ujasiri wa ajabu.
Kuhusu elimu ya darasani, huyo binti hamna kitu. Lakini hilo si kosa lake maana huenda karithi toka kwa mamake.
Hivi kwa kumwangalia tu yule mamake, unadhani ana uwezo wa kiakili wa kumudu masomo ya darasani kweli?
Haya hapa chini ndo wanayoyaweza:
Halafu hapa kaachia bonge la tusi...sijui 'hanithi malowani ibilisi wa biisi'......sasa kama huyo ndo mama mtu, mwanae unategemea awe tofauti naye kweli? Mtoto wa pundamilia hawezi kuwa na mabaka kama ya chui.
Ya kawaida hayo kwa mastaa watu wanajirekodi kabisa wanazisambaza wenyewe sembuse yeye ajali kazini
Ha ha ha ha huyo kwa mitusi ndo mwenyewe anaonekana aisee.Kwani kuna ugumu gani kumsema mtu vibaya ukiwa umejificha sehemu? Teknolojia imezalisha watu wenye ujasiri wa ajabu.
Kuhusu elimu ya darasani, huyo binti hamna kitu. Lakini hilo si kosa lake maana huenda karithi toka kwa mamake.
Hivi kwa kumwangalia tu yule mamake, unadhani ana uwezo wa kiakili wa kumudu masomo ya darasani kweli?
Haya hapa chini ndo wanayoyaweza:
Halafu hapa kaachia bonge la tusi...sijui 'hanithi malowani ibilisi wa biisi'......sasa kama huyo ndo mama mtu, mwanae unategemea awe tofauti naye kweli? Mtoto wa pundamilia hawezi kuwa na mabaka kama ya chui.