Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Dogo alistuka demu analetewa Zawad ya BMW kwenye birthday eti imetoka kwa Kadinda ha ha ha yaan huyu superstar wao maisha yake ni kitabu sijui hii team yake kwa nini wasijiite vicheche FC

hahaa hata ukiwa boya lazma usande....kadinda maisha yke yanajulikana atoe zawadi ya gari ya 25m kwa uwezo upi......team vidogoro ni wa2 wenye maisha ya hovyo n kuuza mpapa washukuru wachina kuleta smart 4ne za laki ndio wameweza kuwa fb n insta
 
....haya mafuriko ndo yamenleta huku?
..naomba tu nielekeze njia ya kufika Mabwepande!
 
Yaan zari hajiamini na siku akimwagwaaaa ataiona insta chungu mbwa huyo,,ndio maana anazunguka kama tiara ,mashavu yashachuma kunde bado Tu kujifanya mtoto na weupe wake WA dekio mxcieewww
Tulia wewe,kama zari ni mzuri atabaki kuwa mzuri tu hata mfanyeje,akimwagwa asubuhi mchana keshapata mwingine.huezi fananisha wema kimburukenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…