Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahh...alikuwemo yeye pamoja na jamaa mmoja anaitwa Yericko....sasahivi wamekuwa na adabu sana humu jukwaani
Hahahahahaa halafu fupifupi lakini zina maudhi balaa.
Hata mimi ananichekeshaga sana.
Asavaliii hapo sasa umeongea ukweli lipstick ni za Mr problem solved sio za wema, say no to uongo..... Case closed
Sure....Dar alikuwepo enzi za ujana wake na anaijua mitaa hatariiiii.
Kwa sasa anakula pension yake Songea huko....
Hahahahaaaaa
Yeah we are clear kauza jina kwa Mr problem solved mwenye lipstick za kiss uwe na mchana mwema tukutane kwenye ubuyu mwingine huu ushaisha ladhaWw hata hujielewi, unanilazimisha ni admit kitu niisichokuwa na uhakika nacho. Mwenyewe kasema zake, ww unalazimisha nikubali za Mr . problem, lol.
My argument was even if lipsticks are not Wema's , she's still clever as she knows her value as she could use it as a brand.
I hope now we are clear
Hahahaa nifah unanichekesha,kumbe ni kibabu cha songea kweli jf pana kama pazia la sinemaJF pana hii shoga...
Hahahahaaaa
Tunataka kumkomboa mtanzania Tifan kutoka ugandakwa wale walivyo wangeshaweka majibu ya DNA,ila ndo hivyo tena hakuna mtoto alie haramu hata kama siyo wake biologically
mdakuzi yuko wapi nimpe ushauri kuhusu ndoa? Maana ananilalamikia sana mke wake ni mapepe mpaka anataka kummwaga..!Hahahahaaaa ataweza wapi?Huyo ni kizee kimoja kipo songea huko kinapenda umbea balaa.
Halafu wewe laki si pesa. ulikuwa unamuulizia sana Mdakuzi umemuona?
Analambwa?[emoji15] [emoji15] ,tafadhali elaborate kidogoTatizo big brother ana genes za utaahira afu huwa analambwa.
Umechelewa kuomba mbona..Mna uhakika gani kama ana mimba? kama imo naomba iwe ya diamond Zari ataua mtu
Wote wale wale. Ukitaka kumwadabisha anayekusema ni kupiga kimya tu. Sasa hawa naona bora wapande ulingoni wazichape hadi mshindi apatikane.Kwani nani kamuanza mwanzake
My hubby na nifah nitawaletea kuku wa kienyeji kutoka songea maana nasikia kuku wa kisasa mnaokula huko dar wamewatoa vitambi na kuwapiga pasi makalio.
Haya ndo alofunzwa na huyo mamake.
Hebu sikia hilo tusi....sijawahi kulisikia popote pale.
'Hanithi malowani'? Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
Halafu anamuongelea mume wa mtu ambaye hapo anamuita ni mume wa mtoto wake, eti marafiki wamemuiba.
Kituko haswa bora angesema mume awe single man aaagh