My hubby
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 451
- 413
ngojea miss strong atoke kazini aje kunisaidia kuwachamba wewe na jobless mwenzako nifah !
Tuchambe tu hata wewe tutapenda zaidii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngojea miss strong atoke kazini aje kunisaidia kuwachamba wewe na jobless mwenzako nifah !
Acha uchonganishi wewe,hata hivyo akija poa tu maana jana nimemsitiri,akichokoza tena kaisha.
Hahahahaaaa ataweza wapi?Huyo ni kizee kimoja kipo songea huko kinapenda umbea balaa.
Halafu wewe laki si pesa. ulikuwa unamuulizia sana Mdakuzi umemuona?
Hahahahahaa halafu fupifupi lakini zina maudhi balaa.Hahahahaah kumbe ni mzeee ,babu huyu laki hua anaifurahisha mno comment zake ananichekeshaga balaaa,hasa kipindi cha kampein na tulivyoshindwa kidogo afwee
Shoga My hubby (Mhhhhh wewe na hii ID yako unataka kutuletea balaa sasa)
Umemuona Tunda kabla hajatumia dekio kwa nataka_shari?
Na Diva na Ray je?Aisee nimecheka balaa.
Hahahahaah kumbe ni mzeee ,babu huyu laki hua anaifurahisha mno comment zake ananichekeshaga balaaa,hasa kipindi cha kampein na tulivyoshindwa kidogo afwee
Mnamcheka mwenzenu....huyo kilikuwa ndo kibarua chake afu nyie mnafanya utani...Shoga My hubby (Mhhhhh wewe na hii ID yako unataka kutuletea balaa sasa)
Umemuona Tunda kabla hajatumia dekio kwa nataka_shari?
Na Diva na Ray je?Aisee nimecheka balaa.
Mnamcheka mwenzenu....huyo kilikuwa ndo kibarua chake afu nyie mnafanya utani...
Katika hili nimemdharau sana Zari.
Wema ameshamuachia huyo Diamond,anamfuata tena na vijembe vya nini?
Anaonekana ana stress sana baada ya kusikia Wema ana mimba.
Na sikutegemea Zari yule anayejidai mzungu kufanya uswahili wa namna hii.
Ni wazi Wema anamuumiza sana.
Wema ana mimba, habari njema sana hii Mungu amsaidie ajifungue salama. na ajiepushe na maneno ya wabibi yatampa stress bure.
Dahh...alikuwemo yeye pamoja na jamaa mmoja anaitwa Yericko....sasahivi wamekuwa na adabu sana humu jukwaaniHivi kati ya waliokamatwa nae alikuwemo
Shoga mimi ile ya Esha nilibaki mdomo wazi,kumbe make up zinasaidia hivyo?Nimeona nilichekaa balaaa eti jumalokole anasema eti wakiulizwa wanasema ni Ac hahahahahah wengi tu kina eshabuheti,wolper wengi mno ,kuna picha eshabuheti aliwekwa hajapaka makeup mi nilimsahau kwa kwelii
Hivi huu umbea wako unakusaidia nini?Dahh...alikuwemo yeye pamoja na jamaa mmoja anaitwa Yericko....sasahivi wamekuwa na adabu sana humu jukwaani
Kama kaenda Songea basi atakuwa kaenda huko kumuomba msamaha Lizaboni kesi ifutwe.Hivi huu umbea wako unakusaidia nini?
Shemeji yangu laki si pesa. yuko Songea huko,sasa kuna vijana waliokamatwa Songea?
Yericko alikamatwa kwa kesi nyingine tofauti.
laki si pesa. ndio yuko Songea always,dar anaisikia na kuiona kwenye media.. .Kama kaenda Songea basi atakuwa kaenda huko kumuomba msamaha Lizaboni kesi ifutwe.
Shoga mimi ile ya Esha nilibaki mdomo wazi,kumbe make up zinasaidia hivyo?
Kama kibibi gani sijui....
laki si pesa. ndio yuko Songea always,dar anaisikia na kuiona kwenye media.. .
Hahahaha