Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo big brother ana genes za utaahira afu huwa analambwa.hivi hizi timu zinalipwa au??wema nae c atulie na big brother winner tatizo nn
Ulipotea maboya...Hata mimi nilikuwa nampenda sana,ila kwa huu upuuzi anaoufanya sasa umemshushia hadhi.
Nilikuwa namuona mwamamke classic kumbe hamna kitu kabisa.
Bora nibaki na Klyn tu ndio mdada wangu anayeelewa jinsi gani ya kubehave kama boss lady.
mnafiki wewe.mtu umpendi alaf unajifanya unamwombea dua.dua gani hyo?Utakufa mdomo wazi mwana mjaa laana wewe.
Unataka kutuambia wewe ni mtakatifu sana? Sio vizuri kuhukumu wala kumuombea mabaya mwenzio.
Mimi Wema simpendi lakini katika hili la mtoto namuombea kheri.
mnafiki wewe.mtu umpendi alaf unajifanya unamwombea dua.dua gani hyo?
Mtoto wa paka ni paka.hahahaha lincoln huyu madame wetu nae chenga nyingi cna eti leo hii nae anasema kafunzwa na mama ake adabu.mama yake nae ana adabu gani wakati nae ni shake well before use hahaha
hahahaha lincoln huyu madame wetu nae chenga nyingi cna eti leo hii nae anasema kafunzwa na mama ake adabu.mama yake nae ana adabu gani wakati nae ni shake well before use hahaha
Hahah,nakuja nisubiri..Unafanya nini hufiki???
Sawa lakini haisaidiii...zari awanyooshe kwa vitendo..kwa hapa alipofika ningekua zari nisingewajibu maana walisema mimba hana haya akajifungua,wakasema mtoto sio wa domo tusubiri akue tutamuona yaani kwakweli team wema wanaweweseka inaonyesha dhahiri zari anawanyoosha bila pasiHapana, kuwakalia kimya team pwanya road ni dhambi kubwa sana.
Ukiwachekea sana watakutia vidole mpaka kwenye naniliu.
Alivofanya sawasawa.
Thubutuuuuu,nimefuatwa PM na watu ninaowaheshimu wakiniomba kuacha mara moja maana nilitaka kumchafua vibaya sana.kumbe nifah kiboko yako ni miss strong !
Hahaha nimecheka sana hii commentUnajua nini...wazimu nao una matawi mengi bana.
Mtu ambaye hakujui na wewe kimsingi humjui, unamchukia kwa minajili ipi?
Yaani mtu unajipinda kuchukia wasiokujua...kama si umajinuni ni nini?
Hahaha nimecheka sana hii comment
Kweli mama na wewe ni wale wa kumchafua mtu kisa umepishana naye???Thubutuuuuu,nimefuatwa PM na watu ninaowaheshimu wakiniomba kuacha mara moja maana nilitaka kumchafua vibaya sana.
Hata hivyo sio case,akileta fyokofyoko tena atajuta kuijua hii ID ya Nifah....
Haamini ajaribu aone.....
Halafu sitaki mnafki yeyote anifuate PM maana sitomsikiliza.