Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Wema Sepetu ndio ali invent smiles ?View attachment 318120nimeamini kweli huyu Bibi wema anamshuhulisha aaaaahaaaaa kaamua kupiga picha anacheka but why aaaaahaaaa
Jamani!Chezea Wema anavyompelekesha wewe?
Halafu cha kushangaza kacheka kiupande,ule mbovu hajaweka.
Athubutu basi kucheka kama Wema...thubutu yake.
Hivi Wema Sepetu ndio ali invent smiles ?
Watu wasijambe sasa mtasema wema anawashughulisha!!
Lini umewahi kumuona Zari akiweka picha ya cheko insta?Jamani!
Shoga yangu naona hojaa zimeisha!
Acheke kama Wema? Ni mashindano??
Sasa mtasema na Wema avae swimming costume.
Siku akivaa nakunya hapa mpaka Mikumi.
Teh, zari inabidi ajikaze level zake ni kina madam ritha,mbona mwanzoni alikuwa kimya kipindi cha mimba..raha ya chokochoko ni kuwakalia kimyaaaHa ha ha hata mimi natamani asijibu....sema ile timu fulu chokochoko.
Halafu wasema eti sio team naniliu?Lini umewahi kumuona Zari akiweka picha ya cheko insta?
Kama sio mashindano ni nini?
Kamuulize yeye aliyeona Wema kaweka picha akiwa anacheka nae akaweka.
Ndio binadamu sawa,ila age yake inamtosha kumfanya awe na busara,awaache hao watoto wamchokonoe mpaka wachoke tatizo ni nini maana kama domo anaye na mtoto anaye anabishana na upande wa pili wasio na kituHata mimi napenda akae kimya sema ndo hivo kuna muda mtu uvumilivu unakushinda ukizingatia nae ni binadamu
Hapana, itakua tunakosea sana. Kisa Wema kaweka picha amecheka mwingine asiweke yake???Lini umewahi kumuona Zari akiweka picha ya cheko insta?
Kama sio mashindano ni nini?
Kamuulize yeye aliyeona Wema kaweka picha akiwa anacheka nae akaweka.
Hapana, kuwakalia kimya team pwanya road ni dhambi kubwa sana.Teh, zari inabidi ajikaze level zake ni kina madam ritha,mbona mwanzoni alikuwa kimya kipindi cha mimba..raha ya chokochoko ni kuwakalia kimyaaa
Usipaniki bibie, hahaaWewe nae hebu niache,nimeshasema sio wewe unalazimisha.
Nasema ninachojisikia hata hivyo,vyovyote utakavyoona wewe sawa tu.
si atapata raha. HahahahUkiwachekea sana watakutia vidole mpaka kwenye naniliu.
.
Unafanya nini hufiki???Ndio binadamu sawa,ila age yake inamtosha kumfanya awe na busara,awaache hao watoto wamchokonoe mpaka wachoke tatizo ni nini maana kama domo anaye na mtoto anaye anabishana na upande wa pili wasio na kitu
Hapana, itakua tunakosea sana. Kisa Wema kaweka picha amecheka mwingine asiweke yake???
Ni utoto pia nafikiri.Na yes, Zari can smile too.Evelyne aliwahi kuweka picha hiyo nafikiri.Niliiona kwenye uzi fulani.
Narudia tena, siku Wema akivaa vazi la kuogelea nanya.Picha iwe current.
#tusitukananebestie
Hapana, kuwakalia kimya team pwanya road ni dhambi kubwa sana.
Ukiwachekea sana watakutia vidole mpaka kwenye naniliu.
Alivofanya sawasawa.
Hahahhahhaaa et nanya!!! jaman yu guys thanks 4making ma day euwwiiii!!!!