Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Leo kacheka kunani? hahhahah maana hakenuagi mweeee, maajabu
Chezea Wema anavyompelekesha wewe?
Halafu cha kushangaza kacheka kiupande,ule mbovu hajaweka.
Athubutu basi kucheka kama Wema...thubutu yake.
 
Chezea Wema anavyompelekesha wewe?
Halafu cha kushangaza kacheka kiupande,ule mbovu hajaweka.
Athubutu basi kucheka kama Wema...thubutu yake.
Jamani!
Shoga yangu naona hojaa zimeisha!
Acheke kama Wema? Ni mashindano??
Sasa mtasema na Wema avae swimming costume.
Siku akivaa nakunya hapa mpaka Mikumi.
 
Jamani!
Shoga yangu naona hojaa zimeisha!
Acheke kama Wema? Ni mashindano??
Sasa mtasema na Wema avae swimming costume.
Siku akivaa nakunya hapa mpaka Mikumi.
Lini umewahi kumuona Zari akiweka picha ya cheko insta?
Kama sio mashindano ni nini?
Kamuulize yeye aliyeona Wema kaweka picha akiwa anacheka nae akaweka.
 
Hata mimi napenda akae kimya sema ndo hivo kuna muda mtu uvumilivu unakushinda ukizingatia nae ni binadamu
Ndio binadamu sawa,ila age yake inamtosha kumfanya awe na busara,awaache hao watoto wamchokonoe mpaka wachoke tatizo ni nini maana kama domo anaye na mtoto anaye anabishana na upande wa pili wasio na kitu
 
Lini umewahi kumuona Zari akiweka picha ya cheko insta?
Kama sio mashindano ni nini?
Kamuulize yeye aliyeona Wema kaweka picha akiwa anacheka nae akaweka.
Hapana, itakua tunakosea sana. Kisa Wema kaweka picha amecheka mwingine asiweke yake???
Ni utoto pia nafikiri.Na yes, Zari can smile too.Evelyne aliwahi kuweka picha hiyo nafikiri.Niliiona kwenye uzi fulani.
Narudia tena, siku Wema akivaa vazi la kuogelea nanya.Picha iwe current.
#tusitukananebestie
 
Wewe nae hebu niache,nimeshasema sio wewe unalazimisha.
Nasema ninachojisikia hata hivyo,vyovyote utakavyoona wewe sawa tu.
Usipaniki bibie, hahaa
Usiseme unachojisikia
Sema kinachostahili.
Utajisikia kusema visivyostahili
Utaharibu hali ya hewa!!!
 
Ndio binadamu sawa,ila age yake inamtosha kumfanya awe na busara,awaache hao watoto wamchokonoe mpaka wachoke tatizo ni nini maana kama domo anaye na mtoto anaye anabishana na upande wa pili wasio na kitu
Unafanya nini hufiki???
 
Hapana, itakua tunakosea sana. Kisa Wema kaweka picha amecheka mwingine asiweke yake???
Ni utoto pia nafikiri.Na yes, Zari can smile too.Evelyne aliwahi kuweka picha hiyo nafikiri.Niliiona kwenye uzi fulani.
Narudia tena, siku Wema akivaa vazi la kuogelea nanya.Picha iwe current.
#tusitukananebestie



Hahahhahhaaa et nanya!!! jaman yu guys thanks 4making ma day euwwiiii!!!!
 
Hapo nani mbaya au mzuri?
Mnachukua bad angles then mnafunga mjadala?
 

Attachments

  • 1453346686682.jpg
    1453346686682.jpg
    8.2 KB · Views: 55
hivi hizi timu zinalipwa au??wema nae c atulie na big brother winner tatizo nn
 
Back
Top Bottom