Kuna mtu mpenda kik hapa duniani kama wema?
Kwa mbaaali akifatiwa na shilole na nuhu dead couple
Tena bora wa zari wapo Hai wema wake kawaua asingewaua labda angekua nao hao wanneKuwa na watoto wanne au ishirini ni maamuzi ya mtu binafsi so suala la Zarina kuwa na watoto halituhusu and nashangaa mlimbwende wetu Sepetu na genge lake la propaganda za mitandaoni wanavyolikomalia inaonyesha ni jinsi gani bado hawajielewi..
Mzungu wema ha ha ha ha ha nlikua sijawahi kuziona hizo
Ishu sio kuchokozwa kama huelewi kinachoendelea shut the **** up!! Hivi watu wanatenga mpaka bajeti za kuhonga waandishi uchwara ili wakuchafue, wanatengeneza networks kabisa za watu ili wapambane na wewe na wako serious kabisa, inafika kipi mtu anachoka..Sawa kachokozwa,kwanini amshambulie Wema kama yuko happy sana na huyo anayejidai yuko happy?
Wabunge wa viti maalumNdio kina nani hao!?
Asante nami nitaanza kuwafuatilia..Wabunge wa viti maalum
Acha uongo we muhuni... Mwambie mkeo zari alete bongo yale magari yameandikwa Zari kule Uganda uone kama atayaleta heheheheheIshu sio kuchokozwa kama huelewi kinachoendelea shut the **** up!! Hivi watu wanatenga mpaka bajeti za kuhonga waandishi uchwara ili wakuchafue, wanatengeneza networks kabisa za watu ili wapambane na wewe na wako serious kabisa, inafika kipi mtu anachoka..
Wewe ni wa kiume au kikeHuyu zari naye kakosa adabu,kwa umri wake wema ni kama mwanae,anaanzaje kurushiana vijembe na mwanae?
Hawazi watoto hela za kuwasomesha zipo ana uhakika na maisha....muda huo wema anazungusha akili kuwaza atawapataje watotoFour kids
Anapata muda wa kukimbizana na kina wema wasio na watoto...ambaye hawazi kesho ya mwanae..... hawazi mwanae kavaa nguo gani....kaenda au hakwenda shule...kaamkaje....kafanya homework........ pyeee
Mbona unaleta ligi za kitoto!! Alete magari bongo ili iweje alafu, just to prove it to you?? c'mon, giv me a break..ndo akili yako ilipoishia hapo..Acha uongo we muhuni... Mwambie mkeo zari alete bongo yale magari yameandikwa Zari kule Uganda uone kama atayaleta hehehehehe
Najua wanajiongeza ila sweetheart rangi ya ngozi yake nani asoijua, ipo kama batiki tuMwalimu insta kuna mweupe? Usidanganyike na applications....
Hata wewe waweza jiposti mzungu
Kweli kabisaHao wanaotaka DNA wao wanawajua baba zao wamuache boss lady sie madaktari wa mitandaoni tushafanya DNA siku nyiiingi lile domo la tiffah copy na diamond kabisa he he he
Kwaiyo Zari anamuhustle diamond au... Mwambie alete ngari yake moja atupige bakora.. KwikwikwikwiMbona unaleta ligi za kitoto!! Alete magari bongo ili iweje alafu, just to prove it to you?? c'mon, giv me a break..ndo akili yako ilipoishia hapo..
Ha ha ha na utoto wake hauna kikomo years anamuona zuri mtu mzima ye mtotoMadai yake wema ni mtoto
Mwengi alikua akipost vitu vya ke aunt anamjibu naona wamepatana ha ha ha wamepatanishwaNon Anty hakuwa na vijembe ila mwengi ndo alikuwa na vijembe nahisi koz alinyanganywa tonge kinywani;ila zari jamani anajiaibisha mtu ana mtoto adolecent kabisa ila kutwa kuandika vijembe,yule hana akili amshukuru ivan anamuweka mjini
Eti mwenyewe unajitekenya alafu unacheka..Kwaiyo Zari anamuhustle diamond au... Mwambie alete ngari yake moja atupige bakora.. Kwikwikwikwi