Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kuwa na watoto wanne au ishirini ni maamuzi ya mtu binafsi so suala la Zarina kuwa na watoto halituhusu and nashangaa mlimbwende wetu Sepetu na genge lake la propaganda za mitandaoni wanavyolikomalia inaonyesha ni jinsi gani bado hawajielewi..
Tena bora wa zari wapo Hai wema wake kawaua asingewaua labda angekua nao hao wanne
 
hahahaaa wanawake bwana buhaaaaahaaaabuhaaaaaaaaaaaaa
 
Sawa kachokozwa,kwanini amshambulie Wema kama yuko happy sana na huyo anayejidai yuko happy?
Ishu sio kuchokozwa kama huelewi kinachoendelea shut the **** up!! Hivi watu wanatenga mpaka bajeti za kuhonga waandishi uchwara ili wakuchafue, wanatengeneza networks kabisa za watu ili wapambane na wewe na wako serious kabisa, inafika kipi mtu anachoka..
 
Acha uongo we muhuni... Mwambie mkeo zari alete bongo yale magari yameandikwa Zari kule Uganda uone kama atayaleta hehehehehe
 
Four kids

Anapata muda wa kukimbizana na kina wema wasio na watoto...ambaye hawazi kesho ya mwanae..... hawazi mwanae kavaa nguo gani....kaenda au hakwenda shule...kaamkaje....kafanya homework........ pyeee
Hawazi watoto hela za kuwasomesha zipo ana uhakika na maisha....muda huo wema anazungusha akili kuwaza atawapataje watoto
 
Mbona unaleta ligi za kitoto!! Alete magari bongo ili iweje alafu, just to prove it to you?? c'mon, giv me a break..ndo akili yako ilipoishia hapo..
Kwaiyo Zari anamuhustle diamond au... Mwambie alete ngari yake moja atupige bakora.. Kwikwikwikwi
 
Sasa mzee mwenzetu zari ushasema mtu fake mbona anakuendesha mpaka wakosa raha Na kujibu watoto wa form two huko insta??? Kweli domo kapata mke mwema haaaaaaahaaaaaaa yani unasema kitu fake halafu kinakupa presha haaaaahaaaaaaa hapo domo kukutema anaogopa midomo ya watu tu ila ushachujaπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Non Anty hakuwa na vijembe ila mwengi ndo alikuwa na vijembe nahisi koz alinyanganywa tonge kinywani;ila zari jamani anajiaibisha mtu ana mtoto adolecent kabisa ila kutwa kuandika vijembe,yule hana akili amshukuru ivan anamuweka mjini
Mwengi alikua akipost vitu vya ke aunt anamjibu naona wamepatana ha ha ha wamepatanishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…