Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Suala la uswahili acheni upuuzi wenu, watanzania wore ni waswahili, eti 'UZUNGU', sheeenzi uzungu ndio nin??? Vimbwanga wanavyofanya wenzetu huko, wasanii wetu wangekuwa wanafanya kila mtu angekuwa anamiliki kampuni yake ya magazeti ya udaku maana story zingekuwa nyingi sana afu tunawapamba..

Hivi ushawahi kutembelea mablogu ya huko majuu uone mambo yao ya udaku na mabifu yao?

Hakuna tofauti yoyote ile na haya wanayofanya akina Wema na Zari.

Sasa kwa nini yanayofanywa na Zari yaonekane eti ndo ya 'kiswahili'?

Ni ujinga na ujuha tu mtu kudhani hivyo.
 
Hawa c Zari na Wema original , ni baadhi ya wadandiaji wanataka kuuza tu..........
 
Uswahili wa Zari uko wapi sasa?

Watu wanarushiana vijembe. Jambo ambalo ni la kawaida kabisa katika maisha ya wanadamu.

Sasa kwa nini mtu kurusha vijembe ndo aonekane 'mswahili'?
Uswahili Ni Huo wakumuongea mwenzako kimafumbo X wa Mumeo.
Issue ya Umeme inamuhusu nini kwani asifanye yake?? Huo ndo Uswahili na sio kujibizana kufatilia Maisha ya Mtu na kumpiga Vijembe Huo ndo Uswahili kama unao unao Uswahili fanya yako.
 
Inaonekana hufahamu kinachoendelea mtaani!! Zari is too classy kuanzisha cheap beefs na wema..
Zari is too class,? Hahahahahahaha hivi uclass gani alionao ushawahi ona snap chat zake asilimia 70 anamchonoa wema...... Zari hana uclass wowote ila wabongo tulivyo washamba tunamwona ndio class yaan wema anamnyima raha zari akiondoka bongi roho juu anapiga tu vjembe
 
Acha unafiki mkuu sijaona sehem pameandikwa wema Mzungu Acha kujitekenya hapo anaongelewa Zari kua Mswahili.Zari kua Mswahili haimaanishi Wema kawa Mzungu.
Jifunze kusoma na kuelewa Acha kukurupuka.
Asante sana mkuu,hivi umejuaje?
Nashangaa navamiwa na maneno na mapovu kibao kana kwamba kuna sehemu nimesema Wema ni mzungu.
Ndio maana nimekaa kimya huku nikicheka tu watu wanavyotoa povu.
Asante kwa kuisoma akili yangu na kuwashtua 'WAKURUPUKAJI'.
 
Inaonekana we ni timu wema mpaka umempa like hapo ni balaaa
 
Uswahili Ni Huo wakumuongea mwenzako kimafumbo X wa Mumeo.
Issue ya Umeme inamuhusu nini kwani asifanye yake?? Huo ndo Uswahili na sio kujibizana kufatilia Maisha ya Mtu na kumpiga Vijembe Huo ndo Uswahili kama unao unao Uswahili fanya yako.

Negative.

Kumuongelea mwenzako kimafumbo wala si uswahili kwa sababu hakuna uhusiano wowote ule kati ya hivyo viwili.

Na kufuatilia maisha ya watu nako hakuna uhusiano wowote ule na uswahili.

Hata watu wa mataifa mengine hufatiliana maisha na kurushiana vijembe.

Elimika. Ukielimika utajua kwamba tabia za watu hazina uhusiano wowote ule na lugha au eneo watokalo.
 
ahahah huu umbea umenikunaje? ila mama tee nae mbaya kwa vijembe, ila mama ubaya zari sio level zake kwa kweli, yeye ashindane na akina aunty ezekiel
Kwakweli Zari ni level nyingine ye avaane na wenzie wanacheza wote vigodoro
 
Sijui ni mimi tu au kuna mwenzangu huko... sija wai tokea kumpenda huyu demu WEMA, she is Soo childish acting like a phuckin puppy... fake stuffs all over the place, mimi huwa nasema siku zote "A biyaach will never have friends ,but just a bunch of some stupid followers "
 
Don't Bother
213eb9ca4890d3c47cc1fc05aaaff02e.jpg
 
Hivi ushawahi kutembelea mablogu ya huko majuu uone mambo yao ya udaku na mabifu yao?

Hakuna tofauti yoyote ile na haya wanayofanya akina Wema na Zari.

Sasa kwa nini yanayofanywa na Zari yaonekane eti ndo ya 'kiswahili'?

Ni ujinga na ujuha tu mtu kudhani hivyo.
Uswahili haumaanishi unapatikana tu Tanzania hata huko kwa wenzetu Uswahili Upo.
Uswahili unatumika kuwakilisha tabia ya Mtu ambae hajastarabika na sio asili wapo wazungu wengi waswahili sana.Ukweli Ni kwamba Zari alidhaniwa Ni Mstaarabu kumbe ana chokochoko nyingi kama za Wema
 
wote wanapenda kiki ,tunamteteaga zari Tu wote wale wale sasa zari kazidi
Umeona eeeh?Mwanzo tulikuwa tunamtetea Zari kuwa ni mwanamke classic ila kwa hili hapana aisee.
Nilitegemea awe busy kama anavyojitapa huko insta (ile siku ya Zari All White Party alisema alikuwa analala masaa ma3 tu kwa siku).
Huu muda wa kufuatilia nani kasema nini tena hizi team za kipuuzi anaupatia wapi?
Endapo Wema angekuwa kamsema Zari angejibu sawa,ila kutokwa povu sababu ya team?
Hell no....
 
Katika hili nimemdharau sana Zari.
Wema ameshamuachia huyo Diamond,anamfuata tena na vijembe vya nini?
Anaonekana ana stress sana baada ya kusikia Wema ana mimba.
Na sikutegemea Zari yule anayejidai mzungu kufanya uswahili wa namna hii.
Ni wazi Wema anamuumiza sana.
Ngoja nisipite bure ,Wema ana mimba ???
 
Back
Top Bottom