Nje ya Mada
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,399
- 490
Duuuh, kwa hio hao akina wema ndo makocha? Ila dunia ina mambo hiiKama yanga na simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh, kwa hio hao akina wema ndo makocha? Ila dunia ina mambo hiiKama yanga na simba
Lakini ya mganda papuchi dunia nzima wameiyona na bado wanaendelea kuiyona...hapo nani ka pokes tunzo..Ngoma droo Wema pia kaisambaza papuchi Namibia
Hao wengine napenda avatar zao lakini wewe nakupenda kwa jinsi ulivo. Hasa hako kamwanya hako ndo kananipagawisha mi hoi taaban!hivi we baba unapenda wangapi humu aghrrrr naomba talaka japo najua mchepuko hauna talaka
Habari ya uongo hii hakuna aliye fungia hilo tamasha! kwa sababu zipi? sidhani kama kunaweza kuwa na sababu zilizo za msingi na haiwezekani!Wema sepetu kaharibu dili LA whitepart LA Zari!! Sepetu manager campen wa ccm uchaguzi 20015 kachoma kwa wakubwa hilo tamasha lisifanyike ndani ya ardhi Tz!!! Zari kapanic anamwanga povu kama hana akili nzuri!! Tofauti na hapo mtapigwa mabomu tu hamna
Hao wengine napenda avatar zao lakini wewe nakupenda kwa jinsi ulivo. Hasa hako kamwanya hako ndo kananipagawisha mi hoi taaban!
Wewe naye na huyo binti michirizi wako.Nawe ungekua unafanya yanayokusaidia usingekua hili jukwaaa ,upo nyonyoooo
fah ni kweli wema ana mimba.nitafurahi kama vile nimemtungua mimiKatika hili nimemdharau sana Zari.
Wema ameshamuachia huyo Diamond,anamfuata tena na vijembe vya nini?
Anaonekana ana stress sana baada ya kusikia Wema ana mimba.
Na sikutegemea Zari yule anayejidai mzungu kufanya uswahili wa namna hii.
Ni wazi Wema anamuumiza sana.
Ntakuunganisha.....unanunuliwa bando tuha ha ha hivi hizi timu wanalipwa jamani ? kama kuna malipo nifanyieni mpango nijiunge nipate pesa aisee
aku mimi hela ya bandle ninayo anilipe kuanzia laki saba nitaendaNtakuunganisha.....unanunuliwa bando tu
Bibi kakuzalia nani mfyuuuuuu
Hebu njoo upate Pepsi bariiid jbu swali zur nmelipendaaKisichana Wema? Lulu na tunda wa young dee tutawaitaje ?
Sanaaaa....sasa hivi kanasoma sijui kitu gani,baada ya miaka kadhaa tunamsikia yupo BOT.Watu watatoa macho hapa.Halafu mkemia mkuu alisema 49% wanalelewa na mababa ambao sio wao.Kabla hawajauliza DNA ya tiffa,wawaambie mama zao nao walete DNA kama hawajaliaLulu ana akili mnoooo yani akili za lulu angekua nazo wema uwiiiiii angekua mtu mwingine kabisa
Kazi imekushinda shost.....baki pembeni kama mie tununue popcorn tucheck movieaku mimi hela ya bandle ninayo anilipe kuanzia laki saba nitaenda
sawa mae .. kazi za njaa naweza geuka nikamtusi mweka bandleKazi imekushinda shost.....baki pembeni kama mie tununue popcorn tucheck movie