Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wala sio jini hebu angalia vizuri nani huyu😀😀😀😀😀😀Wewe nae ndio nini kutuwekea picha za majini?
Mwenzangu maana mapovu yanawatokaga huko IG hatari....siku ya kumpokea ndipo nilipogundua kuwa ni watu wa namna gani.sawa mae .. kazi za njaa naweza geuka nikamtusi mweka bandle
Kwamba ameshalipa Tenesco, au?Teh teh..Jibu la wema nimelipenda
kale kadada kana nyota sana ila hilo wamemzushia mno.nampenda wema na namtakia heri naomba mungu iwe mimba kweliHahahahaaa watu mna mambo?
Hata mimi nitafurahi kama ana mimba kweli maana ni jambo jema.
Wee jamaa ni mnafiki kama shetani Mwenye ujauzito wa miezi 6!! Mbona wewe 24/7 upo jf au wewe ni Moderator wa jf??
Atakua yule mgumba Mwinjuma Muumin pacha watatuHahahahaaa watu mna mambo?
Hata mimi nitafurahi kama ana mimba kweli maana ni jambo jema.
Mjitu umejibanza sehemu na cmu ya mchina, mbembedo zimejaa uso mzima halafu mnaponda fulani anasura mbaya,kabla ya kukashfu tupiamo tupicha twako tuwili tutatu halafu tuone.
Upo sahihi kabisaaa,wale team Wema n matatizo sanaMi mwenyewe najua zuri huwa halianzishi bila kuchokozwa
Hivi kaka The Bleiz hili dongo na mimi linanihusu au?Mjitu umejibanza sehemu na cmu ya mchina, mbembedo zimejaa uso mzima halafu mnaponda fulani anasura mbaya,kabla ya kukashfu tupiamo tupicha twako tuwili tutatu halafu tuone.
Kwendraaa mwajuma ndala ndefu huwezi kuwa mjukuu wa boss lady labda mjukuu wa mama wema "Mnyaturu live"Kanizalia mama angu
aku mie wanipitie mbaliMwenzangu maana mapovu yanawatokaga huko IG hatari....siku ya kumpokea ndipo nilipogundua kuwa ni watu wa namna gani.