mwangalingimungu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,301
- 733
TFF ya Tenga ilipigana ilivyoweza kuhakikisha kwamba haingii kwenye safu ya uongozi wa soka hapa nchini. Ni kwa sababu tayari alikuwa na viashiria lukuki vya kutaka uongozi kwa maslahi yake binafsi na ya klabu yake ya Simba. Lakini vinyamkwera ndani ya TFF na Kamati zake vikampitisha. Vione sasa!Kamati ya maadili ya TFF inakutana leo Machi 14, 2018 pamoja na mambo mengine itajadili suala la Makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura aliyefikishwa kwenye kamati kwa makosa matatu.
Kosa la kwanza ni kupokea fedha za TFF isivyo halali.
Pili kugushi barua
Pamoja na kushusha hadhi ya TFF