Kimenuka: Kamati ya maadili ya TFF yakutana kumjadili Makamu wa Rais Michael Wambura

TFF ya Tenga ilipigana ilivyoweza kuhakikisha kwamba haingii kwenye safu ya uongozi wa soka hapa nchini. Ni kwa sababu tayari alikuwa na viashiria lukuki vya kutaka uongozi kwa maslahi yake binafsi na ya klabu yake ya Simba. Lakini vinyamkwera ndani ya TFF na Kamati zake vikampitisha. Vione sasa!
 
Thathaa, saasa, muraa umefanynini muraa! Yan kwerii muraaweetu, urivyogoombania nafasi hiyo miaaka yote, reo unaenda kufanya madhudhuu, aaha! Hii hapana Muraa!
 
Michael Wambura au Boniface Wambura?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Boniphace Wambura ni yule alikuwa bodi ya ligi sijui siku hizi yuko wapi maana mara ya mwisho nilimuona anakatisha maeneo ya Clock Tower Arusha akionesha ana mawazo mengi. Michael Wambura ndio huyo mwizi ambaye anaiba kwa mtindo ule ule unaomtesa Malinzi jela
 
Wasukuma huwa tuna msemo wa kutahadharisha watu, huwa tunasema "SHOKASHOKA IKASHOKELAGA NA YINGI" huyu Wambura akanyee debe tu aliyataka mwenyewe. Kurudi rudi kwake TFF ndiyo alikuwa anayatafuta haya!
Ha haa.. SHINISHO NKOYI.
 
Mtu kashakula kula kifungo huko cha maisha
Ndiyo stahili yake huyo. Amezidi utapeli.
Baada ya hapo akajibu kugushi kule kortini.
Hii inaonyesha uongozi wa Tenga ulikuwa sahihi kuhusu Wambura.
 
UOTE="Job K, post: 26231352, member: 27429"]NANG'HO NKOYI GASH'ULIMNHU?[/QUOTE]
Naki jogoli nkoyi.
 
Usichojua ni kua Tuhuma hizi zinahusu tukio lililotokea zaidi ya Miaka 10 iliyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…