Tetesi: Kimenuka Kambi ya Wanalunyasi huko Uturuki

Tetesi: Kimenuka Kambi ya Wanalunyasi huko Uturuki

GANA BANKS

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
608
Reaction score
872
Za ndaniiiiii,

Mdau mmoja ambaye sitopenda kuweka jina lake hapa ambaye yuko Nchini Uturuki ananipenyezea mambo kadhaa kuhusu Mnyama,

(1) Kocha hamtaki Ngoma

Kocha Mkuu wa Simba Mbrazil Mzee wa Samba Boy anasema hamuelewi hata kidogo Fabrice Ngoma. Jana ilichezwa mechi ya mazoezi baina yao Simba full game, Ngoma alicheza Dakika 37 akawa amepata Injury 🩸 kocha anasema hakumpendekeza, sasa sijui itakuwaje?

(2) Luis kaongezeka uzito

Kwa mujibu wa mdau anasema Bwana mdogo Konde Boy ameongezeka uzito kwa kilo 15, kwahiyo Kocha anauliza kwanini alisajiliwa na ni lini uzito huo utapungua? Kocha kawaka vibaya, Viongozi wanamtegea tuu ndiyo maana Mgunda kawekwa pembeni kuja kuchukua nafasi ya kocha.

(3) Kipa wa Kibrazili

Golikipa huyo kavuta mkwanja Million 400 huku Mshahara wake uko kiasi cha Tsh. Milioni 14. Beno Kakolanya aliomba Million 65 asaini Simba wakakataa akamua kwenda zake Singinda alikovuta Tsh. Milioni 100. Inasemekana Golikipa ni dili la mtu mmoja pale Simba.

Mdau anamalizia kwa kusema Kocha hawezi kufika November ya mwaka huu.

1690730335089.jpg
 
ZA NDANIIIIIIIIIIIIII...

Mdau mmoja ambaye Sinto penda kuweka jina lake hapa ambaye Yuko Nchini Uturuki ananipenyezea mambo kadhaa kuhusu Mnyama ,

(1)KOCHA HAMTAKI NGOMA.

Kocha mkuu wa Simba Mbrazil Mzee wa Samba Boy anasema hamuelewi hata kidogo Fabrice Ngoma ,Jana ilichezwa mechi ya mazoezi baina yao Simba Full Game ,Ngoma alicheza Dakika 37 akawa amepata Injury 🩸 kocha anasema hakumpendekeza ...Sasa sijui itakuwaje .

(2)LUIS KAONGEZEKA UZITO .

Kwa mujibu wa mdau anasema Bwana mdogo Konde Boy ameongezeka UZITO Kwa kilo 15 kwahiyo Kocha anauliza kwanini alisajiliwa ?Na ni lini UZITO huo utapungua ?Kocha kawaka vibaya ,Viongozi wanamtegea tuu ndiyo maana Mgunda kawekwa pembeni kuja kuchukua nafasi ya kocha .

(3)KIPA WA KIBRAZIL .

Golikipa huyo kavuta mkwanja Million 400 huku Mshahara wake uko kiasi Cha TSH 14M .Beno Kakolanya aliomba Million 65 asaini Simba wakakataa akamua kwenda zake Singinda aliko vita 100 m..Inasemekana Golikipa ni Dili la Mtu mmoja pale Simba .

Mdau anamalizia Kwa kusema Kocha hawezi kufika November ya mwaka huu .View attachment 2703127
Inaumiza sana.Halafu wao wapo Uturuki sisi tunamemena mihogo kama panya hapahapa Avic Town.Inaumiza sana.
 
Kipa mbrazili kaumia mazoezini baada ya wiki moja tangu asajiliwe na taarifa zinasema habari yake na lunyasi imeishia hapo(hasara)
 
ZA NDANIIIIIIIIIIIIII...

Mdau mmoja ambaye Sinto penda kuweka jina lake hapa ambaye Yuko Nchini Uturuki ananipenyezea mambo kadhaa kuhusu Mnyama ,

(1)KOCHA HAMTAKI NGOMA.

Kocha mkuu wa Simba Mbrazil Mzee wa Samba Boy anasema hamuelewi hata kidogo Fabrice Ngoma ,Jana ilichezwa mechi ya mazoezi baina yao Simba Full Game ,Ngoma alicheza Dakika 37 akawa amepata Injury 🩸 kocha anasema hakumpendekeza ...Sasa sijui itakuwaje .

(2)LUIS KAONGEZEKA UZITO .

Kwa mujibu wa mdau anasema Bwana mdogo Konde Boy ameongezeka UZITO Kwa kilo 15 kwahiyo Kocha anauliza kwanini alisajiliwa ?Na ni lini UZITO huo utapungua ?Kocha kawaka vibaya ,Viongozi wanamtegea tuu ndiyo maana Mgunda kawekwa pembeni kuja kuchukua nafasi ya kocha .

(3)KIPA WA KIBRAZIL .

Golikipa huyo kavuta mkwanja Million 400 huku Mshahara wake uko kiasi Cha TSH 14M .Beno Kakolanya aliomba Million 65 asaini Simba wakakataa akamua kwenda zake Singinda aliko vita 100 m..Inasemekana Golikipa ni Dili la Mtu mmoja pale Simba .

Mdau anamalizia Kwa kusema Kocha hawezi kufika November ya mwaka huu .View attachment 2703127
Aisee umbea kitu kibaya saana 😅😅😅😅 ndio maana simba hawarujusu waandishi kwenye kambi yao maana waswahili waongo waongo takataka hii
 
Mdau anamalizia Kwa kusema Kocha hawezi kufika November ya mwaka huu .

Kwa vilabu vyetu hasa Simba nikwaida hatukaagi na kocha kwani ni mama mzazi.
 
Kitu ambacho sina shaka ni kuhusu Fabrice Ngoma. Uyu jamaa akiwa fiti anajua sana boli ila waarabu walimwacha kwa kushtukia maumivu ya kudumu aliyo nayo. Ata pale Sudani alitumika kwa mechi chache sana sijui kama zilizidi saba.
 
Back
Top Bottom