Kimenuka: Lady jay Dee afunguka, Atoa wosia wake siku akifa

Kimenuka: Lady jay Dee afunguka, Atoa wosia wake siku akifa

Hawa wasanii hawana Shkran
Hata kama wanadai walinyonywa lkn fedha walitengeneza,Sema wakipigika kifedha ndy wanakuja kulalama!
Ngoja limziki wao ufilie mbali kama bongo movie tuone jeuri yao

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
HOJA DHAIFU KAMA ZILE ZA CCM, YAANI MKATABA NAPASWA KULIPWA 500K ETI KWA KUWA NIMELIPWA 450K BASI NIRIDHIKE??

VAA VIATU VYA MUHUSIKA KIDOGO ACHAGA USHABIKI KWENYE MAMBO YA HAKI ZA WATU
 
Ina maana hakuna jema Ruge alilowahi kumtendea JD?!
FANYA MEMA YOTE UKIHARIBU TUNAANGALIA MABAYA.

HATA MUNGU ANASEMA UKITENDA MEMA MAISHA YAKO YOOTE SIKU UKIFIA DHAMBINI NI MOTONI, HAKUNA CHA MIZANI YA MEMA NA MABAYA
 
Mbona maneno magumu haya alafu mleta uzi kwann usipishe kwanza majonzi haya yaishe ndio ulete haya mambo ya 2013? Na mbona hamkusambaa huu warka Ruge akiwa hai ili aweze kuujibu?


Sent from my iPad using JamiiForums
Hili ni kaburi limefukuliwa, usijifanye una makengeza, thread hii ni ya mwaka 2013, Ruge alikuwa na nafasi ya kutosha kujibu kama haitoshi akampora Sugu mradi wa malaria no more akiitumia ikulu kwa connection ya January Makamba akiwa mfanyakazi wa ikulu, sasa Kusaga huwa hatajwi kumbe nalo ni lishetani tu ajitakase sasa akiwa hai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote ukiwa na hasira unatakiwa ukae kimya maana unaweza kusema vitu ambavyo baadae utajuta.


Sasa Ruge katangulia mbele ya haki tuone kama hatoenda kwenye msiba au kushiriki kwa namna yeyote.
Kwani Ruge ni nani mpaka kila mtu aende msibani kwake? Sikwenda msiba wa Nyerere na nisipoenda kwa Ruge whats make a different?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ni wachache waliofanikiwa kuyatoa machungu yao hadharani. Wengi wao wamekufa nayo moyoni kwa kujipooza na ngada! Juzi tu tumemzika mwingine kwa kesi isioeleweka ila mzizi wa tatizo ni depression itokanayo na kuzimwa kimziki!
 
Mimi bado naamini JD na kina ruge wana maugomvi yao mengine binafsi ukiachilia masuala ya mziki...alikuwa mtangazaji clouds pia nyimbo zake zilikuwa zinapigwa kuliko wasanii wengine wowote wa kike...ila kuna wasanii ambao wana haki kuwa na beef na ruge...mtu kama sugu isingekuwa ubunge angelosti kabisa...baada ya kuhustle sana alirudi zake kutoka mamtoni na vifaa vyake vya studio, hawakumkawiza watu wakapita navyo...saida kalori, vumilia, buibui, diamond e.t.c.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi bado naamini JD na kina ruge wana maugomvi yao mengine binafsi ukiachilia masuala ya mziki...alikuwa mtangazaji clouds pia nyimbo zake zilikuwa zinapigwa kuliko wasanii wengine wowote wa kike...ila kuna wasanii ambao wana haki kuwa na beef na ruge...mtu kama sugu isingekuwa ubunge angelosti kabisa...baada ya kuhustle sana alirudi zake kutoka mamtoni na vifaa vyake vya studio, hawakumkawiza watu wakapita navyo...saida kalori, vumilia, buibui, diamond e.t.c.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi, Sugu alikubali kupatanishwa na Ruge kwa sababu za kisiasa tu lakini nina uhakika hajamsamehe mpaka leo, Ruge amemtesa sana Sugu hili mimi siyo wa kuhadithiwa nalijuwa fika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli,bila ubunge sugu labda naye angedata na kuvuta Kama wasanii wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Advantage ya Sugu alikuwa na advantage ya kwenda kupiga box Marekani, wana wanamkubali na ubalozini ana rekodi nzuri hawezi kunyimwa viza ya kuingia Marekani, siku moja tupo wote ubalozini akaanza kuitwa yeye kwenye interview yule consulor badala ya kumuhoji akawa anamwambia this time akifika Marekani atafute wafadhili wakubwa, nikajisemea tu watu na nyota zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee hakika JF ni kila kitu, hii ilishaletwa kumbe humu.
 
Back
Top Bottom