Cesar Saint
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 423
- 726
Membe ana hazina kubwa saaana nyuma yake, so CCM B wajiandae kupambana na CCM ASILI
Hawa wanasiasa unaowaona hakuna aliyemkubwa kukizidi CCM na wanakuwa na nguvu ushawishi na vinginevyo wakiwa CCM Membe kuenguliwa CCM ni swala la mkakati kwamwe usije kumwamini mwanasiasa aliyefika inner circle akikwambia yeye ni mpinzani Tanzania.
Sent from my iPhone using JamiiForums