Kimenuka mnyama adai alipwe milion ishirin kwa wiz wa nyimbo yake

Kimenuka mnyama adai alipwe milion ishirin kwa wiz wa nyimbo yake

Mnyama TID anadai alipwe miliion ishirin kabla hajawapeleka kuwalaza central Quick lock kwa wiz wa nyimbo yake aliyoiba ambayo mnyama anadai hapo awali hiyo nyimbo iliweza kubeba tuzo mbili habal kamili nakuletea
Mkuu shule ulienda kusomea ujinga? mbona hujui kuandika?
 
Hana wimbo mwingine tangu mwaka 2005 mpk Leo kama haukumlipa million 20 kwa miaka zaidi ya kumi Leo anataka kwa siku moja dah

Daudi bashite umemfundisha teja tid kuomba akutane na watu pale centrol
 
Hapana ile nyimbo ni kubwa sana inatunzo mbili had mda huu tuzo moja ya nyumban na nyingine ya kimataifa ambayo mnyama aliichukulia kenya
Kama hajaipata hiyo hela kwa miaka yote hiyo iweje Leo aombe kwa mwenzake hela nyingi hivyo
 
Mnyama TID anadai alipwe miliion ishirin kabla hajawapeleka kuwalaza central Quick lock kwa wiz wa nyimbo yake aliyoiba ambayo mnyama anadai hapo awali hiyo nyimbo iliweza kubeba tuzo mbili habal kamili nakuletea
Aende kwa Bashite wakatunge mwingine....
 
Leo June 24, 2017 upepo wa Bongofleva huenda ukaenda sivyo kwenye studio za Switch Records ikiwa ni masaa tu tangu Quick Rocka na kundi la OMG waachie video yao mpya “Watasema” ambayo wametumia melody na maneno ya wimbo wa zamani uliofanywa na TID “Watasema Sana” na inaonekana TID hajashirikishwa na kuamua kudai haki zake.

TID ameandika >>> “Wat is this….?! Hivi ndio mnapata Magari yenu!? @quickrocka & @omgtanzania we need to TALK [HASHTAG]#Watasema[/HASHTAG]

Naomba tukutane Central Police huwezi kutumia Haki zangu hivihivi Kabla sijafanya kitu kibaya nahitaji million 20 compensation… This song ni Awards mbili Za Kisima Music Awards 2005 in Kenya u can’t just Steal it, Unalala Ndani Leo<<< – TID
Credit:Millardayo
 
Mtu anapo copy nyimbo ya msanii mwingine lazima afanye nae mazungumzo kwanza. In America ni adhabu kali sana.
 
Aseme tu kwamba hela hana tumchangie ya kwenda gym maana naona mkuu wa mkoa kashamaliza shughuli za kutafuta kiki kamwacha kwenye mataa
 
Back
Top Bottom