Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Tumia ubongo kufikiri mm nimemtaja ommy ama nimesema Kendra katusiwa na ommy?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mtu kampost demu wake nyie kinawauma nn kisa ommy kumkanya mtoto wake ndio mnatoka povu eti kwa hio mkuki kwa ngurue mtamu kwa binadam mchungu [HASHTAG]#mwambie[/HASHTAG] daimond wenu apambane na hali yake aliyataka mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww umevurugwa sio bure.

Mm sijamtaja ommy wala si ishu kwangu. Ishu kwangu ni matusi yanayoendelea mitandaoni kwa wanawake yanawachafua wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bibie ommy hana huo uwezo wakati yeye mke wa mtu.
Kupiga picha na mama mondi ni kawaida coz walikua marafiki na chibu.
Na yale mafuta aliopost juzi alikua anafuta envelope tu nothing else
 
FURSA KWA NDUGU ZANGU WAKULIMA WA KARANGA.... sasa waweza kutuuzia karanga mbichi nyeupe zenye rangi ya kwenye picha hapo, Maarufu kama Super Quality Small size....kuna nafasi ya kununua hadi Karanga Tani mia moja (Tani 100) kwa kila Mwezi... Usafi na Ubora wa karanga zako ndio nguzo ya kwanza sisi kuweza kuzinunua karanga zako....Wasiliana nasi kwa namba hizi +255714993724 @diamondkaranga [HASHTAG]#NogewaJirambe[/HASHTAG] MAZINGATIO: 1. Karanga ndogo Nyeupe (Super Quality Small Size) 2. Ziwe Safi sana sana. 3. Zifungwe katika ujazo wa kilo 20 kwa kiloba. 4. Tunanunua kwa Bei kati ya tsh 2300 - tsh 2700 kwa kilo. 5. Maitaji yetu ni tani 100 kwa mwezi. 5. Piga simu: +255-714-993-724 -
 
Wacha walalame huku biashara inafanyika
 
Aisee kauzi katamu haka imebidi nisome comment zote. Wale wa Madale naona povu limewatoka..

Mwambieni huyo Kimba wenu ajiheshimu, nilimuonaga choko alivyotukana matusi makubwa makubwa Insta Live huku mtoto wake akiwa pembeni..
 
Chukua kibakuli uzitembeze mtaani kama wale wanaosimamaga stend
 
.... tchaaaaa

ukisikia ubuyu first class ndio huu

hata shigongo anasubiri aisee

I am speechless kwa kweli

Mange kwa ubuyu first class hakuna anayemfikia hapa bongo. Hao shilawadu wa clouds hawagusi kabisa namba ya Mange
 
Kashasema ndoa ya kiislam ni halal Hiyo. Mpk kwa Allah. Kuachana, kuacha, kuachwa vitu vya kawaida hivo mbona yeye kaachwa Hana jipya Aseme kingine hanaga jema Kwenye familia ya Diamond siku zote

Hujaelewa we mfua boxer wa Diamond. Mange hashangai mama kuolewa ,Mange kaonyesha kwamba huyo mama anapenda dogodogo kuthibitisha kwamba hata Ommy Dimpoz anaweza kuwa ni kweli kamnjunja Bi Sandra.Pia kumwonyesha huyo mama hana usafi wowote wa kuhurumiwa ,yaani hana tofauti na kina Hamisa
 
Mimi namjua mganga wao.

Lakini nilipoteza mawasiliano naye

Walah wanatudharirisha mnoo
Ngoja likizo ifike, anzeni kutafuta wasanii wengine wa kushabikia, sio hawa wa pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…