Mbona mimi natumia hayo maneno mzee baba wala hayana noma usiwe na wasi wasi.Mtoto wa kiume akishaanza kuandika maneno ya kijinga yanayotumiwa na wanawake waliokosa stara ambayo hata wanawake wanaojitambua hawawezi kuyatumia huwa naanza kuwa na wasiwasi nae...mwanaume utamke “umenichamb*" hadharani sio ushoga huo?
sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
Kuna member anakwambia povu ruksa ila si la sabuni ya mkopoHahahaa bonge la povu hahaha,ukiniquote jiandae kutoa mapovu tu
Mbona unawachagulia silaha mama?Hivi walishindwa kujibizana wenyewe bila kuwahusisha wazazi....
Heshima ya mzazi lazima itunzwe.
Kwani anataka kukushawishi au ujumbe imfikie mlengwa?Atuletee picha wakiwa kitandan lakini kwa picha hizo bado hajatushawishi
Tupe uthibitisho wwMange mwongo mama dai hajaolewa na pia story zote mbili hazina ukwel bila uthibitisho
Duuh yaan yote lakin bimkubwa kuliwa na adui yaan unapata picha ww unapambana vita bimkubwa anaenda kumstarehesha adui apate nguvu za kupambana na mikatikio ya ajabu mambo mengine yaskie kwa jirani tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pata picha bimkubwa alikuwa anaukatikia?
Matatzo madogo yanapopuuzwa husababisha matatizo makubwaBifu la PAC na big lilianza km HV bora wenye busara walisolve mapema
Sent using Jamii Forums mobile app