Kimenuka: Robbkardashian na Chyna wachafuana mitandaoni

Kilichoo niuzi ni Roby kulalamika kama mwanamke kwenye mitandao huyuu jamaa angezaliwa bongo akenda kuchuku ngoma kabsa ya kigodoro
Ilas jamaa si walimuonya asioe stripe sasa analala mika nini...
Stripes wapo wengi tu angeenda kununua mwingine si pesa ipoo....nayeye aji record amtumie...shabashhhhhhhhh.!!!!!
 
MMMMH... Kweli balaaa
 

Attachments

  • bitmoji-20170705115100.png
    7.3 KB · Views: 39
Kutmbewa kunauma wewe sikia tu kwa jirani, acha tu rob alie
 
Una uhakika na hao video queen kua n wa hivo how do u kno surname unayotumia ni ya baba ako halisi.???


Niko 100% sure kuwa video queen wa kibongo wote ni machangudoa...hili halina ubishi labda ukatae tu kwa kuwa unataka kujiuza kupitia njia hiyo na kudanganya wazazi wako. Pili, kwani hata jina unalotumia wewe ni lako sahihi, si ni a.k.a. pia? Sikia, nakuomba usjichanganye....sijakukataza kuwa changudoa, ni maisha yako unayotaka, hivyo ni juu yako.
 

Hili povu unataka kufulia nguo za garage,Huo umalaya tutafanya labda na mama ako mdogo ila kwa usawa huu najiweza pesa ipo nostress maisha yanasonga mbele
 
Hili povu unataka kufulia nguo za garage,Huo umalaya tutafanya labda na mama ako mdogo ila kwa usawa huu najiweza pesa ipo nostress maisha yanasonga mbele


wenzako wanasemaga hivyo hivyo ila nyuma ya pazia wanakuwa uwanja wa mazoezi....tushawazoea lugha yenu nyie.
 
Nasikia kiba katoa nyimbo mpya

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mnakaa kabisa mna amini hayo maumbile ya kina kardashians, amber rose, kyle, huyo black chyna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]damn hell no..
Matangazo yao yanakuwaga hivi. How to get a Brazilian butt in seven days [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu unakuta mtu anafanya squats 4 kwa siku. Jaribu wewe sasa. Utalala na kuamka squats hauoni kitu.

Sent from my E5306 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…