Mtemi Mbojo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 891
- 1,569
Hivi vyama CHAKAVU Africa vinazidi kutuletea mabalaa..wish siku moja vyote vifutike!South Africa wametangaza kufunga mpaka wao na Msumbuji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi vyama CHAKAVU Africa vinazidi kutuletea mabalaa..wish siku moja vyote vifutike!South Africa wametangaza kufunga mpaka wao na Msumbuji.
Mshindi wa Tume (FRELIMO) kajifungia ndani anasikilizia.😡😡😡Vurugu baada ya uchaguzi nchini Msumbiji zimeibuka. Tayari watu 18 wameuawa.
Tuchukue tahadhari kwenye mipaka (Mtambaswala) yetu na hawa jamaa.
Mshindi wa Tume (FRELIMO) kajifungia ndani anasikilizia.
NB: internet imezimwa kama Tungekinya 2020
Magufuli hakushinda ule ulikuwa uchafuzi siyo uchaguzi. Ukweli tu unaufaham sema unaendeshwa na mihemko na mahaba.Tanganyika uchaguzi 2020 Magufuli alishinda ‘fair and square’. Sababu za kuzima internet labda ilikuwa kuzuia upotoshaji wa wahuni tu.
Shida labda iwe 2025, lakini usifananishe ushindi wa Magufuli wa haki na mambo ya siasa za hovyo kwengine kwenye bara.
Tatizo la watu kama Mayor Quimby ni moja tu...yuko katika kundi lile lile la wanaoamini wanajua kumbe hawajui kitu.Mag3 Magufuli hakushinda ule ulikuwa uchafuzi siyo uchaguzi. Ukweli tu unaufaham sema unaendeshwa na mihemko na mahaba.
Muulize Maxence Melo atakwambia naelewa mipaka yangu.Tatizo la watu kama Mayor Quimby ni moja tu...yuko katika kundi lile lile la wanaoamini wanajua kumbe hawajui kitu.
Kwa sababu hawana akili, busara wala hekima, wajanja huwatumia wenye mihemko kama jiwe kusafisha njia.
AaarghPamekucha hapo bado mujahideen hawajafanya yao huku Majeshi ya Rwanda yakiangalia fursa za kuiba huko
Mxiuuuuu!!Tanganyika uchaguzi 2020 Magufuli alishinda ‘fair and square’.
If you know, you knowSee what I mean? Anayejua ni wewe tu Mayor Quimby and so did Magufuli!
Nini maana ya fair and square?Tanganyika uchaguzi 2020 Magufuli alishinda ‘fair and square’. Sababu za kuzima internet labda ilikuwa kuzuia upotoshaji wa wahuni tu.
By now you should me, I can take a punch kama ukubaliani na mimi na mtazamo wangu.Mxiuuuuu!!
Nini maana ya fair and square?
Hahaha hahahaTatizo la watu kama Mayor Quimby ni moja tu...yuko katika kundi lile lile la wanaoamini wanajua kumbe hawajui kitu.
Kwa sababu hawana akili, busara wala hekima, wajanja huwatumia wenye mihemko kama jiwe kusafisha njia.
Sawa Mayor Quimby, Nimekuelewa, uwe na siku njema.!Shida yako wewe ni clueless na unatia huruma, hujui siada za Tanzania.
Ni ngumu sana kujadiliana hoja na mtu mwenye hitimisho; sasa hapo sijui nipo upande wa jeshi la Rwanda au ushindi Frelimo?Chuki inatoka wapi? Au Una hasira ya kushinda uchaguzi mtetezi wenu?
Kwann uzime internet kama sio utahiraTanganyika uchaguzi 2020 Magufuli alishinda ‘fair and square’. Sababu za kuzima internet labda ilikuwa kuzuia upotoshaji wa wahuni tu.
Shida labda iwe 2025, lakini usifananishe ushindi wa Magufuli wa haki na mambo ya siasa za hovyo kwengine kwenye bara.
Umeshibishwa propaganda za dictator MwendazakeIf you are in the know circle, you would have known.
Kwa mtu kama mimi mwenye maadui kila kona (wengine hata siwajui), majizi hayo-hayo ndio ulinzi wangu siku nikienda Tanzania. Kwakua najua yana nguvu-nijaribu na yenyewe yajibu, labda utumwe na Samia tu.
Ndio ujiongeze, mengine atuwezi sema yanawahusu watu tunaowategemea ulinzi wao tukifika Tanzania.
Naweza kukwambia GSM katuma kiasi gani kununua Magari gani la kwake na ls kuwapeleka watoto shule na wala sikosi usingizi. Iła kuna watu uwezi kuwaongelea kabisa.
Ni kukupa tu msamiati, hujui vita ya Magufuli. Hakuwa na vita ndogo kama unavyodhani in your pathetic little head
Usiogope kuyaambia ukweli majizi na yenyewe yanajijua ni majizi. Ilimradi hayo majizi ni matoto yaliyo lelewa na CCM au yametoka familia bora.Umeshibishwa propaganda za dictator Mwendazake