Kimenuka UDSM, wanafunzi wanaandamana; FFU wako tayari....


kweli we mwaka wa kwanza!. Hata sensa za migomo chuoni hauna.
 
haya wenzenu mliokua mnadai haki zao wamefukuzwa kabisa..ehe niambieni mmefanikisha lipi zaid ya kuingziwa bum?
 
watoto wa siku hizi wanakosa subira wanadhani labda zamani wa2 walisoma kwa raha sana sasa watakiona kilicho mnyonyoa kanga manyoya hovyo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…