Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,318
- 684
we unanin mpk ujataman hzo 20?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washikaji jana nimeanza weeknd na kimeo balaaa ,Katika sehem niliyo kuwa nimetulia nilishare meza na mama moja ukimuona utazani bibi hivi,basi alipokolea kinwaji nilishangaa sana kuniambia kuwa hajawahi olewa na miaka 39 ,hana mtoto aliniomba nimtaftie Mchumba na yafuatayo mchumba wake huyo asiwe na shaka:a/Mahali anayob/Maandalizi ya harusi juu yake c/Tayari yeye ni mtumishi wa serikali ka wewe huna kazi 20,000,000 zipo za kuanzia .d/Anna gari la kutembelea ila hajui kendesha ,wewe ndo utakuwa shofel wake .kama vipi changamka ,mawaslianop yake ninayo ,ikiwa ni bahati yako ukampata 20m ,10% ni yangu mjomba .