Kimetulamba kwenye written interview

🤣🤣🤣🤣no vipanga nikukariri tu
Kishawalamba Huko chupi chini.
Afiya afiyaaa afiyaaa chuma Yao njooni Huku tuchome mihogo na mahindi tuchangie Kodi nchii hii bi chura apate nauri ya kuzurura duniani huko ondoeni mind za kuila nchi waliopo kwenye system wanatosha mana wanakula kama lung'wawa
 
Huku vyuoni janjajanja nyingi dawa yake wanarudi 'O' level wanajua kule kanjanja hatoboi watapata cream. Watandika mikeka wote kuulee, vyeti feki kuulee
 
Umekutana na mzee wa jambia
 
Pole sana Nyamwi255 God will pave the way
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…