Kimetulamba kwenye written interview

Umaskini ni ugonjwa mbaya sana
 
We nae unakuwa huelewi ule usaili ulikuwa wa medical lab technician sio wa mwalimu Wa kemia /physics
Kumbuka kwanini nitolewe maswali nje ya taaluma yangu?.
Kwani kwenye huko kuganga hamtumii Taaluma ya kemia?
 
Hayo ndo mambo ya Aptitude test ya Online Kubabake Yani hyo mitihani mnayofanya Sasa hivi Bora ya Zamani ya Kuandika maana hii ni zaidi ya Kuvuna makapi na nafaka🤣🤣
 
Kumbe inawezekana ukapita interview zote na bado usipangiwe kituo cha kazi???
 
Umesema maswali ya form 3&4 kwani si ulisoma.nakufaulu hivyo vidato au ulikua kilaza ukapata credit.

Anyway poleni kwa yalowakuta unadhani mchujo lengo lake mfaulu wote,hapo kuna wadau watapiga hadi 90% ndio itajua dunia haina huruma.
 
Utumishi wako hivo mara zote na ukiona mtu kafaulu basi walitoa aliposoma ila wakitoa ambapo hujapitia basi kimekuramba
 
Itakuwa Serikali imebaini tatizo la wataalamu wa maabara kuchakachua vipimo, imeanza kupima uelewa na sio kukariri. Kuna wengine hata reagents wanachanganya vitu sivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…