Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejibu kwa mtindo wa ana ana doo..! huujui huo..??Ebwanaa eeh..Leo kwenye interview (DUCE) picha linaanza Hilo hall tuloingia limeshona balaah!
Yani hamna upenyo watu Kama wote almost kama 600..na hapo Kuna wengine wamezuliwa kuingia kwa kukosa vigezo..
Picha lenyewe Sasa....👇
Kwa upande WA lab technician Mtihani
waliyotuletea ni WA maabara za viwandani😂 yani hamna hata swali Moja la afya...
Yani wametuletea ma volumetric analysis, ma elasticity Yale ya O-level...yani .zile practical za form 4 ndo tumeletewa hamna swali Moja la afya 🥺ule Mtihani kwa mwanafunzi
WA form 3&4 alokwiva vizuri anapata yote...
Halafu Mtihani ni multiple choice na dk 40 yani Kila jibu unaliona sawa 😁
Licha ya kubanana ila Ukisema upige Chabo kwa mwenzako kimekulamba unaangalizia nini uongo au maana Kila mtu amestaajabu tu anakuna kichwa
Na wasimamizi hawakuwa na muda wa ku tu supervise yani...limetushuka balaah
Baada ya kutoka nkamuuliza rafiki yangu wa pharmacy akanambia nao ndo vile vile hawwjatolewa swali Moja la afya..
My take...hayo maswali tuloletewa ingebidi waletewe walimu wa sayansi kwa hili tumeonewa au basi wangetuchanganyia ila sio kutufanyia hivi...
Kama ni lengo ni kutupunguza basii limetiki haswaaa😒
Tunatoka kwenye interview ya polisi mmoja ansema huyu anatembea kihuni hafai kua askari anatakiwa awe mwizi 🙃🙃Kwendaa🤣
Najuua.najua haswaaa ila we maswali hujayaona unaongea tu kule niku Kukomoana....kwann yasinge base kwenye taalum yangu...Wala hawajakosea, sema huna kumbukumbu.
Kama muda wote unashinda MMU unategemea utakumbuka mambo ya nyuma?
Msingi mkubwa wa Medical Lab na Pharmacy ni Chemistry, sasa kama hujui Volumetric Analysis, na mashaka sana kama hata Chuo kikuu ulitoka vizuri.
Ni msiba.
😂😂😂😂muda wote anamuwaza raraa reree atatoboa kweliWala hawajakosea, sema huna kumbukumbu.
Kama muda wote unashinda MMU unategemea utakumbuka mambo ya nyuma?
Msingi mkubwa wa Medical Lab na Pharmacy ni Chemistry, sasa kama hujui Volumetric Analysis, na mashaka sana kama hata Chuo kikuu ulitoka vizuri.
Ni msiba.
Hahahaha🤣🤣🤣
Sometimes mambo ya interview yanakuwaga jau sana nakumbuka kitambo sana before 2010 kuna ofisi niliitwa kwenye interview kufika pale naambiwa ni print document ambayo ilikuwa ndio CV yangu. Maana position iliyokuwepo ile ofisi ni ya Documents organizer. Kama bahati tu wiki moja jamaa alishawahi kuizungumzia aina ya hilo swali.
Picha linaanza printer iko disconnected nika connect na kuiwasha bado haiprint kuangalia kwenye Control panel haijawa installed nikaomba software ya driver baada ya hapo nikaambiwa endelea na kazi, kazi hata sikufanya ile ofisi
Na alinipa mibaraka yote Leo...+ Morning groly 😄....upo daudi😂😂😂😂😂muda wote anamuwaza raraa reree atatoboa kweli
Siku hizi kuna usahiliYani huo ni zaidi ya usanii sasa professionalism iko wapi?
Mama weee Pole kipenzi sisi sijui itakuaje?Ebwanaa eeh..Leo kwenye interview (DUCE) picha linaanza Hilo hall tuloingia limeshona balaah!
Yani hamna upenyo watu Kama wote almost kama 600..na hapo Kuna wengine wamezuliwa kuingia kwa kukosa vigezo..
Picha lenyewe Sasa....👇
Kwa upande WA lab technician Mtihani
waliyotuletea ni WA maabara za viwandani😂 yani hamna hata swali Moja la afya...
Yani wametuletea ma volumetric analysis, ma elasticity Yale ya O-level...yani .zile practical za form 4 ndo tumeletewa hamna swali Moja la afya 🥺ule Mtihani kwa mwanafunzi
WA form 3&4 alokwiva vizuri anapata yote...
Halafu Mtihani ni multiple choice na dk 40 yani Kila jibu unaliona sawa 😁
Licha ya kubanana ila Ukisema upige Chabo kwa mwenzako kimekulamba unaangalizia nini uongo au maana Kila mtu amestaajabu tu anakuna kichwa
Na wasimamizi hawakuwa na muda wa ku tu supervise yani...limetushuka balaah
Baada ya kutoka nkamuuliza rafiki yangu wa pharmacy akanambia nao ndo vile vile hawwjatolewa swali Moja la afya..
My take...hayo maswali tuloletewa ingebidi waletewe walimu wa sayansi kwa hili tumeonewa au basi wangetuchanganyia ila sio kutufanyia hivi...
Kama ni lengo ni kutupunguza basii limetiki haswaaa😒
Kila lenye heriIla mm kwa paper lile natoboa 😊 inshallah