Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Fifa yaipiga marufuku Kenya kutoshiriki katika vitendo vyote vya soka
Shirikisho la kandanda duniani, Fifa, Alhamisi limeipiga marufuku Kenya kushiriki shughuli zote za kimataifa kutokana na hatua ya serikali kuingilia masuala yake.
Rais wa Fifa Gianni Infantino alithibitisha kusimamishwa kwa muda kwa shughuli zote za soka wakati wa Mkutano wa Wanahabari wa Baraza la Fifa.
"Bila ya kuathiri uchunguzi wowote wa mamlaka ya kitaifa au vyombo vingine vya mahakama, Baraza la Fifa pia liliamua kusimamisha Shirikisho la Soka la Kenya na Chama cha Soka cha Zimbabwe mara moja kutokana na kuingiliwa isivyofaa na serikali ," Infantino alisema.
Shirikisho la kandanda duniani, Fifa, Alhamisi limeipiga marufuku Kenya kushiriki shughuli zote za kimataifa kutokana na hatua ya serikali kuingilia masuala yake.
Rais wa Fifa Gianni Infantino alithibitisha kusimamishwa kwa muda kwa shughuli zote za soka wakati wa Mkutano wa Wanahabari wa Baraza la Fifa.
"Bila ya kuathiri uchunguzi wowote wa mamlaka ya kitaifa au vyombo vingine vya mahakama, Baraza la Fifa pia liliamua kusimamisha Shirikisho la Soka la Kenya na Chama cha Soka cha Zimbabwe mara moja kutokana na kuingiliwa isivyofaa na serikali ," Infantino alisema.