Inafaa kusindikizia thread maana ikiwa tupu hainogiMbona picha haiendani na stori
CongoBabu Inonga anatokea wapi
Na Onyango je?Kakamega
Onyango rasmi ni mtanzaniaNa Onyango je?
Pia mnakuwanga na viwanja vya mpira huko? Mko na national league ambayo inakuwa televised?Unaongea upuuzi na tulikuwa ranked juu yenu?