Puncler
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 1,386
- 1,888
I'm scrutinizing nani kati yao aliyeanza matusi.Kijana u-young unamharibu ameshindwa kujua maana ya diss track ye ni kutuma matusi from the beginning [emoji23]
Ukijibu kitu ukiwa na hasira inakuwa ngumu kufanya kitu cha maana