Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Katika hali ya kushangaza kiungo wa klabu ya Simba SC Yusuph Kagoma amefuta picha zake zote akiwa na klabu yake, pamoja na utambulisho wake Kama mchezaji wa Simba SC katika Mtandao wa Instagram (BIO).
Ikumbukwe @kagoma_21 alikuwa akiuguza majeraha ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika michezo kadhaa ambayo klabu ya Simba wamecheza.
Pia kiungo huyo hajasafiri na timu ya Simba siku ya Leo kuelekea nchini Algeria kwenye mchezo wa pili wa Simba hatua ya makundi Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine.
#FutbalPlanetUpdates
Unaambiwa huko ukoloni ......moto juu ya moto ......yajayo yanatisha
Ikumbukwe @kagoma_21 alikuwa akiuguza majeraha ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika michezo kadhaa ambayo klabu ya Simba wamecheza.
Pia kiungo huyo hajasafiri na timu ya Simba siku ya Leo kuelekea nchini Algeria kwenye mchezo wa pili wa Simba hatua ya makundi Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine.
#FutbalPlanetUpdates
Unaambiwa huko ukoloni ......moto juu ya moto ......yajayo yanatisha