Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Tulimwelewa Manara aliposema wenye akili ni wawiliKwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulimwelewa Manara aliposema wenye akili ni wawiliKwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa
Kama Baleke, Chama, Mkude, wote wanaliliwa na kupiganiwa na mashabiki kindakindaki wa Yanga ili WAANZE, nadhani Kagoma ataingia vizuri tu kwenye kundi hilo la wachezaji vipenzi wa utopoloKagoma bado sana kupata namba uananchini....
🤣🤣🤣 Wazee wakujinoost au sioSawa masindano fc
View attachment 3168877
Funga mdomo shoga.Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa
Kwahiyo hii taarifa inasaidia vipi kuepusha yanga na vipigo?!Katika hali ya kushangaza kiungo wa klabu ya Simba SC Yusuph Kagoma amefuta picha zake zote akiwa na klabu yake, pamoja na utambulisho wake Kama mchezaji wa Simba SC katika Mtandao wa Instagram (BIO).
Ikumbukwe @kagoma_21 alikuwa akiuguza majeraha ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika michezo kadhaa ambayo klabu ya Simba wamecheza.
Pia kiungo huyo hajasafiri na timu ya Simba siku ya Leo kuelekea nchini Algeria kwenye mchezo wa pili wa Simba hatua ya makundi Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine.
#FutbalPlanetUpdates
Unaambiwa huko ukoloni ......moto juu ya moto ......yajayo yanatisha View attachment 3168873
Kaangalie kwenye IG yakeBaada ya vipigo mfululu ukawa umepoteza dira sasa umeona huko mtandaoni ya kagoma umekuja resi kuanzisha uzi huku meno 34 yako nje...kijana acha umbea...kagoma yupo Simba mtaaaibika vibaya vibayaaa..
Hahahhaha yani inafurahisha sana mnavyopaparuka kama mahindi ya bisi
Kuiamini au kutoimani kwako hakubadili ukweli.Hii taarifa angeitoa "waufukweni" ningeiamini