Kimeumana Simba: Kagoma afuta Kila kitu kuhusu Simba mtandaoni

Kimeumana Simba: Kagoma afuta Kila kitu kuhusu Simba mtandaoni

Baada ya vipigo mfululu ukawa umepoteza dira sasa umeona huko mtandaoni ya kagoma umekuja resi kuanzisha uzi huku meno 34 yako nje...kijana acha umbea...kagoma yupo Simba mtaaaibika vibaya vibayaaa..
Hahahhaha yani inafurahisha sana mnavyopaparuka kama mahindi ya bisi
 
Ni kweli kafuta...
Unaijua sababu?
Unajua kwanini kafuta au unafurahia tuu...
 
Katika hali ya kushangaza kiungo wa klabu ya Simba SC Yusuph Kagoma amefuta picha zake zote akiwa na klabu yake, pamoja na utambulisho wake Kama mchezaji wa Simba SC katika Mtandao wa Instagram (BIO).

Ikumbukwe @kagoma_21 alikuwa akiuguza majeraha ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika michezo kadhaa ambayo klabu ya Simba wamecheza.

Pia kiungo huyo hajasafiri na timu ya Simba siku ya Leo kuelekea nchini Algeria kwenye mchezo wa pili wa Simba hatua ya makundi Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine.

#FutbalPlanetUpdates

Unaambiwa huko ukoloni ......moto juu ya moto ......yajayo yanatisha View attachment 3168873
Kwahiyo hii taarifa inasaidia vipi kuepusha yanga na vipigo?!
 
Kama Baleke, Chama, Mkude, wote wanaliliwa na kupiganiwa na mashabiki kindakindaki wa Yanga ili WAANZE, nadhani Kagoma ataingia vizuri tu kwenye kundi hilo la wachezaji vipenzi wa utopolo
Chama ni pure class A prayer...
 
Baada ya vipigo mfululu ukawa umepoteza dira sasa umeona huko mtandaoni ya kagoma umekuja resi kuanzisha uzi huku meno 34 yako nje...kijana acha umbea...kagoma yupo Simba mtaaaibika vibaya vibayaaa..
Hahahhaha yani inafurahisha sana mnavyopaparuka kama mahindi ya bisi
Kaangalie kwenye IG yake
 
Back
Top Bottom