Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

Ohoooo kumbe huyu Daudi Mchambuzi alianzia UVCCM?
Ushakosa hoja
1388826086.jpg
 
Ipo ivi Mkuu kind of flower ya vanilla ni closed kwaiyo nivigumu sana mdudu kuweza kuingia na kufanikiwa kufanya pollination kwaiyo inabidi mkulima mwenyewe afanye maana Kuna vifaa maalumu kama forceps iv ndo vinatumika lkn inabidi viwe clean ili pollen zisiwe contaminated mbaya Zaid pollination inabidi ifanyike kwanzia saa nne adi saa sita mchana baada ya apo huwezi kufanikiwa kufanya icho kitu kwa kweli ilo zao ni changamoto kwa mkulima hasa kwa Tanzania yetu
Vitu vinavyofanyika kiasili (naturally) kama kuzaliwa, kukua, kuzaliana na kufa huendelea vyenyewe bila kuingiliwa.
Hata hivyo, kinachoweza kufanyika ni kuongeza kasi (catalysis).
 
Kilimo cha ukweli kinacholipa maradufu na kwa haraka ni kilimo cha Bangi ila lazima uisome PGO yote uelewe haki zako za msingi unapokuwa chini ya mikono salama ya serikali kabla ya kushika jembe🐒
Nitaweka mbole ya kutosha na mkojo wa binadamu, kitu litakuwa cha kijani.Nitafuga mbwa na nitawavutisha mmea ili walinde vizuri.Nashukuru kwa wazi mjeda
 
Tanzania yetu ukisikia zinatangazwa fursa kwa nguvu kubwa basi ujuwe wewe ndio fursa yenyewe.

Trust me Wabongo mchongo wa kweli wa kupiga pesa hata rafiki yako wa karibu huenda pia asikutonye.
Michongo wa ukweli wabongo Wanatia password umeongea ukweli hii nchi ndio Maana ccm wamefanyikiwa kutawala, Watu wana roho mbaya sana
 
Nilisikia siku moja redioni kuhusu hilo, kwamba eti kumbe pollination yake haitegemei Wadudu au upepo kama mimea mingine...kwamba unatakiwa Mkulima mwenyewe ufanye timing ndio uwezeshe pollination.

Nilibaki njia panda ila nikajiuliza ndio Mungu alivyokusudia au kuna mahali tu sisi Binaadamu tunakosea ndio maana inalazimu kufanya hivyo?.

Any way vyovyote iwavyo ni zao linalohitaji umakini mkubwa mpaka kuvuna....na isingikuwa uhitaji wake upo juu Watu wangelipotezea tu kwa kweli.
Aina ya nyuki (Melapona)ambao wanaweza kufanya pollination kwenye ua la vanilla hawapatikani tz,hii ni kwasababu ya nature ya ua lenyewe.Nyuki hao wanapatikana kwenye baadhi ya nchi/ukanda wa Africa.
 
Halafu majamaa yanasema lete hela nikulimie. Kwanini wasilime wao wapate 1M kwa kilo?
Hata mm nilikuwa najiuliza hili swali kwa nguvu Sana. Kwamba kwann wasikope wao mamilioni ya fedha kisha wakalima mahekari kwa mahekari wakauza halafu wakapata faida??
 
Kilimo cha ukweli kinacholipa maradufu na kwa haraka ni kilimo cha Bangi ila lazima uisome PGO yote uelewe haki zako za msingi unapokuwa chini ya mikono salama ya serikali kabla ya kushika jembe🐒
Ukikamatwa na bangi usikubali waende kukusachi mbele kwa mbele ,waambie mmalizane mbele za watu waone umekamatwa na kil9 ngapi lasivyo wataenda kukupa magunia yote waliyoyaweka store harafu kwenye habari watatangaza wamekukuta na viroba 20 vya bangi wakati ni ka kilo moja tu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom