Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

Hapana Mkuu;
Kilo moja ni Tshs 850,000/= ?? sio Laki moja.!!!
Mkuu na we uko chaka mana binafs nina uzoefu wa kutosha na vanilla. Kuna kg 300 nimekosa mteja hata wa tsh 400000@kg. Hawa jamaa wa njombe nilijua tu ni suala la muda. Ukitaka kujua kilio cha vanilla nenda kagera.
 
Kinadharia YES ingawa siyo rahisi kama unavyo iweka kwa mabenki kutoa pesa namna hiyo! Hakuna taasisi zisizo taka risks kama banks, ndiyo maana Serikali yetu "ikajiripua" kwa kuanzisha TADB ili ichukue at least some risks kwenye kilimo ingawa nao hajiripui kihivyo au hovyo hovyo. Hebu tafuta uzi wa Viking wa 02/08/2020 wenye kusomeka
Mkuu Benki haiwezi kukataa Letter of Credit...., Kule Mnunuzi anaongea na Benki yake ina-guarantee malipo kuwa processed iwapo mzigo utafika...

What Is a Letter of Credit?
A letter of credit, or "credit letter," is a letter from a bank guaranteeing that a buyer's payment to a seller will be received on time and for the correct amount. In the event that the buyer is unable to make a payment on the purchase, the bank will be required to cover the full or remaining amount of the purchase. It may be offered as a facility.

Due to the nature of international dealings, including factors such as distance, differing laws in each country, and difficulty in knowing each party personally, the use of letters of credit has become a very important aspect of international trade.
"Profesa Kabudi Nenda Madagascar Ukatuletee Miche ya Vanill". Naamini utapata kitu humo.
Mkuu kwenye uzi nipate nini ? Hapa issue ni Value ya Vanilla ? Au tunaongelea Kama Model inayotumiwa na hawa wadau inahitaji more transparency ?
 
Kwa kusoma hii post yako na ya Bondpost, naamini sasa kuna uelewa mdogo juu ya kilimo hiki cha vanilla na hicho cha Parachichi au Avocado. Ni ukweli kuwa hayo mazao pia yanalimwa Njombe na ya soko kubwa sana Ulaya, in fact Avocado ya Njombe, karibu yote, inanuliwa na walanguzi kutoka Kenye. Wao wana REPCK na kulabel upya na kusema inatoka Kenya na kuuza kwa bei ya juu sana.

Wakenya wana ready market ambayo mkulima wa Njombe halijui wala hawezi kulitafuta. Ikifika wakati wakiibuka watu kama akina Vanilla International na ku - mobilize watu wawekeze kwenye zao hilo na kuwalipa mahela mazuri zaidi ya Wakenya na kwa utaratibu wao wa sasa, wataibuka wana JF nakupiga kelele UDECI au UTAPELI. Hili linawezekana na ni suala la kukamata fursa ya Economies of Scale kwenye eneo hilo na kusonga mbele.
Ni utapeli bhana! Kama nawe uelewa ni mdogo, shut-up!! Ulaya gani inayonunua bei kubwa kiasi hicho? Au ukisikia ulaya unaamini ni kule juu inakoelekea ndege? Kama umewahi kuishi Ulaya, ulikuta bei ya parachichi ya kiwango hicho unachohisia. Usiishie kusema parachichi za njombe bhla!-bhla! Hizo ni ndoto. Ulaya haiwezi kuruhusu bei ya chakula chochote iwe juu kama anasa. Wanao-export wanapata faida kuliko mkulima na hiyo ni kawaida ya mazao yote duniani. Sasa wewe unataka tuamini vanilla ni milioni 1 kwa kilo? That is stupid!
 
WATANZANIA WANAPENDA SANA MTEREMKO
UKITAKA KULIMA INGIA MWENYEWE SHAMBANI AU MUWEKE MTU UNAYE MJUA AKUSIMAMIE
UKITAKA FUGA KUKU DO THE SAME WAY!
SASA UTAKUTA WATU INAFANYA KAZI MAOFISINI WAO WAKIPELEKWE KWENYE
MAWORKSHOP WAKIWEKEWA MAPROJECTOR
NA WAKIONESHWA MAGRAPH SJUI WATAPIGA MAMILION MANGAPI WANACHANGANYIKIWA
KITU CHOCHOTE LAZIMA UKITOLEE JASHO
LAZIMA UINGIE FIELD

ova
Wrong notion! Kitu kinachofanyika hapa ni UWEKEZAJI! Mimi nina pesa yangu nampa Vanilla International kwa MKATABA WA KISHERIA yeye analima kwa niaba yangu mimi mwenye pesa. Yeye ana ARDHI, VIBARUA, UTAALAMU na ukipenda SOKO. Ni nini kisichoeleweka hapa!? Serikali ya Tanzania na Barrick wameunda TWIGA MINERALS COMPANY, Serikali ina ardhi na madini, Barrick wana soko, pesa na utaalamu. Barrick wakivuna, wanauza na kuipa Serikali chake. Serikali HAIENDI KUCHIMBA WALA KUUZA, yenyewe itahakiki tu mazao!

That is the approach ya vanilla guys, wapi hapaeleweki? Hata mikataba inasema hivyo, anything kinyume na Mkataba ni kwa Pilato na kupambana. Hivyo ndivyo maisha yalivyo, sasa weye ukikaa na kuimba DECI au MATAPELI na kuanza kulumbana humu JF na kuishia kupata "thanks na point za kukufanya uwe JF - Expert Member" basi bana!
 
Bei ya juu niliyowahi kuisikia miaka ya 2010 ilikuwa sh. 40,000. Ni mkoa wa Kagera, mnunuzi wao mkuu alikuwa Uganda. Sasa wameibuka matapeli hawa, tena wajinga kabisa wanaumiza watu baadaye wavune na kujiondokea.

Matangazo ya aina hii hayana tofauti na DECI iliyoumiza watu. Angalia bada ya kuwaelekeza wa-TZ kwenye korosho; pwani hadi Singida, wengine wakaelekea kwenye palachichi, Haijafika mwisho sasa imekuja vanilla na matangazo ya TV. Bahati mbaya wengi wanaiamini TV na ndo maana hata Tatu mzuka na biko wanajitangaza utadhani ni watu wa maana. Wananchi wanaumizwa serikali iko kimyaaa! Mkuu wa mkoa wa Njombe anastahili sifa kwa kuliona hili.
Kwani Mkuu wa Mkoa wa Njombe kasema NINI!? Mbona mnamuwekea maneno na mawazo yenu huyo mkuu? Kila mtu kamsikia na RPC wake. Leo mnawageuzia maneno. Acheni uongo humu JF.
 
W

Wapi kwenye maelezo ya DC wa Njombe anaposema mambo ya UTAPELI au ni maneno yako unamlisha huyo DC kutokana na mentelity yako towards hao wawekezaji kwenye Vanilla. Pamoja na yote, viongozi kama hawa hawawasaidii watu kwani wana REACT baada ya kusikia au kusoma maneno kama ya akina Baraka 21 na wenzao kwenye mitandao. Viongozi hawa wanapaswa kuwa PRO - ACTIVE kama kweli ni wawajibikaji!
Mi nahis au hatunaga viongoz wanaojielewa au ndo hivo nao ni makolo. Mtu anajitangazia fursa hata usalama wa taifa hawajiongezei maarifa yoyote kuhusu fursa husika mpaka watu wanapigwa. Viongoz nao Wanajitutumia misukule yao imeshaumizwa mitaj yao. Anayeelewa kuwa watanzania iq yetu ni questionable kwa sabab ya mitaala na u communist anatakiwa kuwa pro active. Humu tulishajadili sana kuwa kile ni kipind kuwapiga watu mitaji yao na pia wahuni wavutie mikopo mikubwa benk za kilimo. I WISH I WERE TISS!
 
Ni utapeli bhana! Kama nawe uelewa ni mdogo, shut-up!! Ulaya gani inayonunua bei kubwa kiasi hicho? Au ukisikia ulaya unaamini ni kule juu inakoelekea ndege? Kama umewahi kuishi Ulaya, ulikuta bei ya parachichi ya kiwango hicho unachohisia. Usiishie kusema parachichi za njombe bhla!-bhla! Hizo ni ndoto. Ulaya haiwezi kuruhusu bei ya chakula chochote iwe juu kama anasa. Wanao-export wanapata faida kuliko mkulima na hiyo ni kawaida ya mazao yote duniani. Sasa wewe unataka tuamini vanilla ni milioni 1 kwa kilo? That is stupid!
Hapa tunakwenda kwa HOJA siyo MATUSI. One can understand what type of a person YOU ARE kutokana na unachoandika na unachosema. Ndiyo maana huwa mnaishia kutukanana hadi kuwaingiza wazazi wenu kwenye masuala haya badala ya kwenda kwa HOJA. Hivyo kutokana na matusi yako, binafsi nashindwa kujibizana na weye kwa HOJA hivyo, na LOG OFF kujibizana na weye kwani sina hayo matusi ya kukujibu. SORRY!
 
Super Brand wamekuwa ndiyo madalali wa huu utapeli wa Vanilla!

Hivi wao hupokea tu matangazo na kuyarusha bila hata kuchanganya na za kwao?
HIvi vyombo vya habari vinastahili kuwa na watu wa ethics! Wanatoa matangazo yaliyobuniwa kuwalaghai wananchi yaonekane ni taarifa muhimu ya kitaifa. Ni mengi, ikiwa ni pamoja na yale ya tatu mzuka, Biko,... Kwa mwananchi wa kawaida anahadaika kwamba ni tangazo la kitaifa, kumbe ni utapeli wa aina fulani.

Miaka ya zamani EAC ilikuwa na matamngazo ya dawa ya Aspro, ikisema aspro mbili kwa magonjwa ishirini. WHO ilipiga marufuku tangazo la aina hiyo kujitokeza kwenye vyombo vya habari. Hawa ni washenzi tu na vijineno vya uchumi eti economies of scale bhla-bhla!.
 
Super Brand wamekuwa ndiyo madalali wa huu utapeli wa Vanilla!

Hivi wao hupokea tu matangazo na kuyarusha bila hata kuchanganya na za kwao?
HIvi vyombo vya habari vinastahili kuwa na watu wa ethics! Wanatoa matangazo yaliyobuniwa kuwalaghai wananchi yaonekane ni taarifa muhimu ya kitaifa. Ni mengi, ikiwa ni pamoja na yale ya tatu mzuka, Biko,... Kwa mwananchi wa kawaida anahadaika kwamba ni tangazo la kitaifa, kumbe ni utapeli wa aina fulani.

Miaka ya zamani EAC ilikuwa na matamngazo ya dawa ya Aspro, ikisema aspro mbili kwa magonjwa ishirini. WHO ilipiga marufuku tangazo la aina hiyo kujitokeza kwenye vyombo vya habari. Hawa ni washenzi tu na vijineno vya uchumi eti economies of sclale.
K

wani Mkuu wa Mkoa wa Njombe kasema NINI!? Mbona mnamuwekea maneno na mawazo yenu huyo mkuu? Kila mtu kamsikia na RPC wake. Leo mnawageuzia maneno. Acheni uongo humu JF.
Kwa mwenye uelewa kama mimi, nikisikiliza mahojiano ya mkuu wa mkoa na huyo anayejiita muwekezaji, hitimisho ni kwamba muwekezaji ameingiza utapeli, simple. Kivutio ni bei ya milioni 1 kwa kilogram ya vanilla, ambayo amesema ni uongo. What NEXT??

Angalia dakika ya 6:07 ya video hii kama bado umeshupaa shingo.

 
Naona kila Mtu anakuja na bei yake...ila vyovyote iwavyo bado inaonesha ni zao linalolipa ukilinganisha na mazao mengi.
Kwanza Iyo Bei Ni ndogo ukilinganisha na shughuli yenyewe.

Kwa

Pia zao lenyewe linakommaa baada ya miaka 4.

Uvunaji na uandaaji wa vannila ifikie kuuzwa,
Sio chini ya miaka 2 au 1 na Nusu.
 
Yan mkulima ataambiwa inabidi utafute Miche ya Migomba au Jatropha plant ili iwe chanjo Cha kimvuli maana vanilla ipo sensitive na solar radiation kwaiyo ni fulsa juu ya fulsa
Nadhani Mariki Boy hujawafuatilia hawa walima vanilla wa Njombe na utaratibu wao, vinginevyo hilo suala la kutafuta miche ya migomba na Jatropha kama chanzo cha kivuli usingelisema hapa.
 
HIvi vyombo vya habari vinastahili kuwa na watu wa ethics! Wanatoa matangazo yaliyobuniwa kuwalaghai wananchi yaonekane ni taarifa muhimu ya kitaifa. Ni mengi, ikiwa ni pamoja na yale ya tatu mzuka, Biko,... Kwa mwananchi wa kawaida anahadaika kwamba ni tangazo la kitaifa, kumbe ni utapeli wa aina fulani.

Miaka ya zamani EAC ilikuwa na matamngazo ya dawa ya Aspro, ikisema aspro mbili kwa magonjwa ishirini. WHO ilipiga marufuku tangazo la aina hiyo kujitokeza kwenye vyombo vya habari. Hawa ni washenzi tu na vijineno vya uchumi eti economies of sclale.

Kwa mwenye uelewa kama mimi, nikisikiliza mahojiano ya mkuu wa mkoa na huyo anayejiita muwekezaji, hitimisho ni kwamba muwekezaji ameingiza utapeli, simple. Kivutio ni bei ya milioni 1 kwa kilogram ya vanilla, ambayo amesema ni uongo. What NEXT??

Angalia dakika ya 6:07 ya video hii kama bado umeshupaa shingo.


Anachosema RC ni kweli. Yeye na wenzake hawajui, yaani hakufuatilia hili suala tangu mwanzo na sasa labda kasituliwa na wana JF na ndio kaanza KUFUATILIA ana kuwa REACTIVE badala ya kuwa PRO ACTIVE! Anachosema wotemmesikia, anawataka wasitishe ujenzi wa vibanda vya wafanya kazi wao SIYO GREENHOUSES za Vanilla1 Msipotoshe hili suala.
 
Hapa tunakwenda kwa HOJA siyo MATUSI. One can understand what type of a person YOU ARE kutokana na unachoandika na unachosema. Ndiyo maana huwa mnaishia kutukanana hadi kuwaingiza wazazi wenu kwenye masuala haya badala ya kwenda kwa HOJA. Hivyo kutokana na matusi yako, binafsi nashindwa kujibizana na weye kwa HOJA hivyo, na LOG OFF kujibizana na weye kwani sina hayo matusi ya kukujibu. SORRY!
Oooh! Ktk mazungumzo ya kawaida ya kiingereza kusema stupid au shame ni sawa? Naonesha kutoridhika kwangu. Kumbe wewe uswahili umekujaa. Lakini mbona unaandika kiingereza na wewe, ingawa kina makosa?
Correction:
Usiandike, One can understand what type of a person YOU ARE
Andika hivi One can understand what type of a personality ARE YOU

Duniani hatuna types of persons, tuna types of personalities. Anganlia tofauti ya YOU ARE na ARE YOU
 
Back
Top Bottom