Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Wakati Waandaji wa Tamasha la Super Bowl Halftime wakimtangaza Kendrick Lamar kama mtumbuizaji mkuu, mjadala umeibuka Mitandaoni, baadhi ya mashabiki wakimtaka Rapa Lil Wayne
Katika mijadala hiyo, wapo wanaodai Kendrick ni msanii mkali sana lakini, si chaguo sahihi kufanya tamasha katika mji anaotoka Lil Wayne (New Orleans), ambaye amefanya makubwa zaidi kwenye muziki
Ikumbukwe, Mastaa wanaotumbuiza kwenye tamasha la Super Bowl Halftime hawalipwi isipokuwa hupata fursa ya kutangaza biashara zao na kuchochea mauzo ya muziki wao
Mdau wewe unadhani nani anafaa kuperform kwenye tamasha hilo na kwanini?
Katika mijadala hiyo, wapo wanaodai Kendrick ni msanii mkali sana lakini, si chaguo sahihi kufanya tamasha katika mji anaotoka Lil Wayne (New Orleans), ambaye amefanya makubwa zaidi kwenye muziki
Ikumbukwe, Mastaa wanaotumbuiza kwenye tamasha la Super Bowl Halftime hawalipwi isipokuwa hupata fursa ya kutangaza biashara zao na kuchochea mauzo ya muziki wao
Mdau wewe unadhani nani anafaa kuperform kwenye tamasha hilo na kwanini?