Kimsingi Tanzania haina Umeme

Ukisema haina umeme unakuwa umeingia Kingi wataofanya hivyo wanataka muone shirika haliwezi kujisimamia..
 
Umeme sio muhimu kama demokrasia kwa sababu tuna demokrasia now yatosha😁 muacheni mama apige kazi
 
Samia alisema katiba mpya isubiri ajenge uchumi , uchumi wenyewe ndio buu wa giza na uhaba wa bidhaa, dawa ni kuandamana kwenda ikulu atupe majibu
 
Samia alisema katiba mpya isubiri ajenge uchumi , uchumi wenyewe ndio buu wa giza na uhaba wa bidhaa, dawa ni kuandamana kwenda ikulu atupe majibu
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…