P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Sep 21, 2022 #61 Nimeona mahali 'vijana wa ccm' yakifurahia sana hii, hata hivyo nikajua uzuzu ndio tatizo lao kuu
N Nyumisi JF-Expert Member Joined Nov 10, 2010 Posts 13,499 Reaction score 19,292 Sep 21, 2022 #62 Mama Pasco said: Ajiuzulu? Uliona wapi walamba asali wakajiuzulu? Akale wapi? You must be joking Click to expand... Kwamba anataradadi kwenye buyu la asali.....basi ngoja tuendelee na kibwagizo chetu @rasimu ya warioba iwekwe mezani tuandike katiba mpya.
Mama Pasco said: Ajiuzulu? Uliona wapi walamba asali wakajiuzulu? Akale wapi? You must be joking Click to expand... Kwamba anataradadi kwenye buyu la asali.....basi ngoja tuendelee na kibwagizo chetu @rasimu ya warioba iwekwe mezani tuandike katiba mpya.
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Sep 21, 2022 #63 sseni said: Wamejifutia wao tuu maana sisi wengine hata kadi za bank hatuna tuna simu itel ya batan na line ya mtandao ko tunaona mauza uza watuangalie na sisi tunaweka viakiba kwenye simu Hivi ile clip ya kulalamikia makato ni ya Mwigulu...!!!? Click to expand... Afadhali wewe una itel wenzako wana O King imeshatoka batani wanabofya na kijiti
sseni said: Wamejifutia wao tuu maana sisi wengine hata kadi za bank hatuna tuna simu itel ya batan na line ya mtandao ko tunaona mauza uza watuangalie na sisi tunaweka viakiba kwenye simu Hivi ile clip ya kulalamikia makato ni ya Mwigulu...!!!? Click to expand... Afadhali wewe una itel wenzako wana O King imeshatoka batani wanabofya na kijiti
Lagrange JF-Expert Member Joined Mar 7, 2017 Posts 2,365 Reaction score 2,732 Jul 6, 2023 #64 Ni laana kuwa na FM kama yule.