Kimueumana: Djuma na Aucho out Yanga

Kimueumana: Djuma na Aucho out Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210908_130821165053.jpg


Huenda Djuma Shabani na Aucho wasiwe sehemu ya kikosi Cha Yanga kitakochokikabiri Rivers United wikiend hii baada ya kuenea kwa taarifa kuwa CAF wamewapa taarifa hiyo Yanga, kufuatia timu zao za zamani kuchelewesha kutuma hati yake ya uhamisho (ITC ).

Imeelezwa ITC zimechelewa kutumwa kutokana na Yanga kutokamilisha malipo ya ada ya usajili.

Sio maneno yangu ni maneno ya Mchumia Tumbo
 
Huenda Djuma Shabani na Aucho wasiwe sehemu ya kikosi Cha Yanga kitakochokikabiri Rivers United wikiend hii baada ya kuenea kwa taarifa kuwa CAF wamewapa taarifa hiyo Yanga, kufuatia timu zao za zamani kuchelewesha kutuma hati yake ya uhamisho (ITC ).

Imeelezwa ITC zimechelewa kutumwa kutokana na Yanga kutokamilisha malipo ya ada ya usajili.
Sawa,wanaisubiri Simba Tarehe 25/9 kwenye Ngao ya jamii
 
Huenda Djuma Shabani na Aucho wasiwe sehemu ya kikosi Cha Yanga kitakochokikabiri Rivers United wikiend hii baada ya kuenea kwa taarifa kuwa CAF wamewapa taarifa hiyo Yanga, kufuatia timu zao za zamani kuchelewesha kutuma hati yake ya uhamisho (ITC ).

Imeelezwa ITC zimechelewa kutumwa kutokana na Yanga kutokamilisha malipo ya ada ya usajili.
Tetesi kama inasemekana ,subiri msemaji Bughatti aje aseme.
 
Huenda Djuma Shabani na Aucho wasiwe sehemu ya kikosi Cha Yanga kitakochokikabiri Rivers United wikiend hii baada ya kuenea kwa taarifa kuwa CAF wamewapa taarifa hiyo Yanga, kufuatia timu zao za zamani kuchelewesha kutuma hati yake ya uhamisho (ITC ).

Imeelezwa ITC zimechelewa kutumwa kutokana na Yanga kutokamilisha malipo ya ada ya usajili.
Jiandae kisaikolojia,si rahisi kihivyo na ukumbuke Yanga ni timu kubwa ina CEO wa kimataifa na matajiri wanaojielewa siyo wale wanaodanga na jushi da mitandaoni.Bingwa wa hamasa Duniani H.Manara anazungumza na wanahabari leo jumatano,saa 6 mchana.Stay tuned
 
Najua wewe ni Babra,Jiandae kisaikolojia,si rahisi kihivyo na ukumbuke Yanga ni timu kubwa ina CEO wa kimataifa na matajiri wanaojielewa siyo wale wanaodanga na jushi da mitandaoni.Bingwa wa hamasa Duniani H.Manara anazungumza na wanahabari leo jumatano,saa 6 mchana.Stay tuned
Kwani Manara akizungumza na wanahabari ndio mtakuwa mmeshinda magoli mangapi?

Huu ushamba wenu unaurudisha mpira wa Tanzania nyuma miaka 30, Simba wanajitahidi kuupeleka mbele kwa vitendo, nyie daima nyuma mbele mwiko.
 
Jiandae kisaikolojia,si rahisi kihivyo na ukumbuke Yanga ni timu kubwa ina CEO wa kimataifa na matajiri wanaojielewa siyo wale wanaodanga na jushi da mitandaoni.Bingwa wa hamasa Duniani H.Manara anazungumza na wanahabari leo jumatano,saa 6 mchana.Stay tuned
Utopolo ni timu kongwe na sio kubwa.
 
Sio kusema "UENDA" kwenye ukweli waambie...yaan documentation siku zote wameshindwa Sasa ofisini watendaji wanafanya nn? Haji Manara yupo jaman atacheza..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na kama ni kweli ni ngumu kumaliza documentation ndani ya siku 3 zilizobaki ,ni aibu sana wanashindwa hata na Biashara United kwa umakini
 
Back
Top Bottom