Kimueumana: Djuma na Aucho out Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Huenda Djuma Shabani na Aucho wasiwe sehemu ya kikosi Cha Yanga kitakochokikabiri Rivers United wikiend hii baada ya kuenea kwa taarifa kuwa CAF wamewapa taarifa hiyo Yanga, kufuatia timu zao za zamani kuchelewesha kutuma hati yake ya uhamisho (ITC ).

Imeelezwa ITC zimechelewa kutumwa kutokana na Yanga kutokamilisha malipo ya ada ya usajili.

Sio maneno yangu ni maneno ya Mchumia Tumbo
 
Sawa,wanaisubiri Simba Tarehe 25/9 kwenye Ngao ya jamii
 
Tetesi kama inasemekana ,subiri msemaji Bughatti aje aseme.
 
Jiandae kisaikolojia,si rahisi kihivyo na ukumbuke Yanga ni timu kubwa ina CEO wa kimataifa na matajiri wanaojielewa siyo wale wanaodanga na jushi da mitandaoni.Bingwa wa hamasa Duniani H.Manara anazungumza na wanahabari leo jumatano,saa 6 mchana.Stay tuned
 
Kwani Manara akizungumza na wanahabari ndio mtakuwa mmeshinda magoli mangapi?

Huu ushamba wenu unaurudisha mpira wa Tanzania nyuma miaka 30, Simba wanajitahidi kuupeleka mbele kwa vitendo, nyie daima nyuma mbele mwiko.
 
Utopolo ni timu kongwe na sio kubwa.
 
Sio kusema "UENDA" kwenye ukweli waambie...yaan documentation siku zote wameshindwa Sasa ofisini watendaji wanafanya nn? Haji Manara yupo jaman atacheza..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na kama ni kweli ni ngumu kumaliza documentation ndani ya siku 3 zilizobaki ,ni aibu sana wanashindwa hata na Biashara United kwa umakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…