Kimuhemuhe cha Harusi Chaua

Kimuhemuhe cha Harusi Chaua

Duuh nikikumbuka ndoa ya wazazi wangu duuuh ilikuwa ya kawaida mno, japo uwezo wa kufanya makubwa ulikuwepo. hakuna ukumbini wala honeymoon, ilifanyika nyumbani hapohapo kutoka tu kanisani, siku ya pili kila mtu alienda kazini kwake, walialikwa tu majirani na marafiki, ndugu nao walikuwepo hakukuwa na mchango wowote, japo wazazi ni watoaji sana, tangu hapo hawaalikwi ovyoo na wakialikwa wanapewa info wasichangie,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh nikikumbuka ndoa ya wazazi wangu duuuh ilikuwa ya kawaida mno, japo uwezo wa kufanya makubwa ulikuwepo. hakuna ukumbini wala honeymoon, ilifanyika nyumbani hapohapo kutoka tu kanisani, siku ya pili kila mtu alienda kazini kwake, walialikwa tu majirani na marafiki, ndugu nao walikuwepo hakukuwa na mchango wowote, japo wazazi ni watoaji sana, tangu hapo hawaalikwi ovyoo na wakialikwa wanapewa info wasichangie,

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishuhudia ndoa ya wazazi wako? au ulihadithiwa...
 
Mkuu hujasema kwa nn unamemuita "aliekua mke wangu".
Je mliachana? Na kwa nn?
Mimi Ni Mkristu mkatoliki.....

Wakati wa kufunga ndoa niliongea na padri tufunge siku ya kazi J3 asubuhi ofisini kwake tukiwa na wadhamini na wazazi mashahidi tu.......

Aliyekuwa Mke akapokea kwa kusitasita....kuwaambia ndugu zake maana wanajiweza wakalipuka kwanini afanye hivyo, Hana ndugu? Hana majirani? Au hachangiagi mtu....mean sio social..... Waafrika sisi.

Baada ya kuona kimdomomdomo hiko nikajipanga na kisalary CHANGU na wazazi wangu wawili Baba na Mama TU..... Mzee anafuga akatoa mbuzi nane.....changanya na kuku mdondo (za kisasa hizi) 15.... Bia tukaongea na jamaa family friend anayza jumla akaleta mzigo wa kutosha ...crate Kama 70 akasema mtalipia mtakazotumia tu....tulirudisha crate 25.....

Mawine kidogo Tena Yale maaltare wine from Moshi Catholic bookshop..vidumu vya Lita tano ..vant,nyagi.....nk nk nk

Then kwa msimamo wangu ambao ulipingwa Hadi na wazazi nikafanyia sherehe nyumbani.....maturubai kodisha mpambaji Kama kawa na mziki mnene....okoa gharama za ukumbi....

Tulitoka church Hadi ndugu wameona aibu wakaleta msafara nikaukataa na mdhamini naye akakataa, namshukuru alikuwa na msimamo mkali kuliko Mimi....hao kwenye kicarina Cha mdhamini na anaendesha mwenyewe mpaka hotel flani ya Lutherani pale juu ya CCP Moshi kwa geti la nyuma huku panaitwa Uhuru, poteza muda Kama masaa mawili.....

Ndoa ilifungwa saa nne aubuhi....sherehe ilianza saa Saba mchana....saa kumi na mbili kwisha.....

Hakuna aliyepewa kadi ya mchango ila wale wa kuona aibu kwasababu tunatoaga waliposikia walitoa wenyewe.......Hawa nawaheshimu maana hawakuombwa Wala kupewa kadi ya mchango.........

Matokeo yake.....
1. Hakuna alalamika as hawakuchanga...
2. Sherehe ilipendeza....
3. Iliweka historian...
4. Nilifanya kitu ndani ya uwezo wangu.....hakukukopwa mahali popote.

Mpaka leo sipati kadi ya mchango wa Harusi hovyo hovyo maana na Mimi sikuwapa watu kadi hovyo hovyo.....

Fanya kitu ndani ya uwezo wako....
Mkuu hujasema kwa nn unamemuita "aliekua mke wangu".
Je mliachana? Na kwa nn?
 
Duuh nikikumbuka ndoa ya wazazi wangu duuuh ilikuwa ya kawaida mno, japo uwezo wa kufanya makubwa ulikuwepo. hakuna ukumbini wala honeymoon, ilifanyika nyumbani hapohapo kutoka tu kanisani, siku ya pili kila mtu alienda kazini kwake, walialikwa tu majirani na marafiki, ndugu nao walikuwepo hakukuwa na mchango wowote, japo wazazi ni watoaji sana, tangu hapo hawaalikwi ovyoo na wakialikwa wanapewa info wasichangie,

Sent using Jamii Forums mobile app
DUH.......ULISHUHUDIA NDOA YA
WAZAZI WAKO??
KAMA NDIVYO,SEMA ULISHUHUDIA
WAKIKATA LESENI.
 
Mkuu hujasema kwa nn unamemuita "aliekua mke wangu".
Je mliachana? Na kwa nn?

Mkuu hujasema kwa nn unamemuita "aliekua mke wangu".
Je mliachana? Na kwa nn?
Story ndefu kidogo na Mimi sio mwandishi Sana....ila nilishare kidogo humu kwa ule Uzi wa kufunga mwaka.
 
Duuh nikikumbuka ndoa ya wazazi wangu duuuh ilikuwa ya kawaida mno, japo uwezo wa kufanya makubwa ulikuwepo. hakuna ukumbini wala honeymoon, ilifanyika nyumbani hapohapo kutoka tu kanisani, siku ya pili kila mtu alienda kazini kwake, walialikwa tu majirani na marafiki, ndugu nao walikuwepo hakukuwa na mchango wowote, japo wazazi ni watoaji sana, tangu hapo hawaalikwi ovyoo na wakialikwa wanapewa info wasichangie,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mm kama nitafanya harusi sitachangisha mtu...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom