Kimya cha Bodi ya Mikopo kuhusu VRF kinaashiria nini?

Kimya cha Bodi ya Mikopo kuhusu VRF kinaashiria nini?

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,647
Reaction score
9,604
Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutangazia kuondolewa kwa tozo iliyokua inaumiza wanufaika wa mkopo hasa Wafanyakazi bado kumekua na kimya kingi kutoka bodi ya mkopo kuhusu maendeleo ya mchakato huo.

Bodi walitoa taarifa kua wanarekabisha tozo hiyo kwa kuiondoa pia watahuisha taarifa za wahusika kila wakati.

Mwezi wa pili sasa hakuna updates yoyote ili wanufaika wajue kinachoendelea maana kukaa kimya junaweza kuwafanya wakaja na formula ambayo haitaleta ahueni kwa wanufaika.

HESLB tunaomba updates sio siasa wengi wanaumizwa na tozo hiyo.
 
Walisema kwamba mabadiliko ni kuanzia July- 1- 2021, hivyo baada ya hapo kisipoeleweka tutazinguana[emoji848][emoji848]
 
Walisema kwamba mabadiliko ni kuanzia July- 1- 2021, hivyo baada ya hapo kisipoeleweka tutazinguana[emoji848][emoji848]
Bado walisema watakua wanatoa updates kila baada ya muda hukusu zoezi hilo....hawakusema tusubiri mpaka july 1
 
Huko kuzingua ndio hamuwezi mpaka Sasa mmeshakatwa mara ngapi na mko mnalalama kimya tu?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu, yote aliyoyaongea Rais Samia, nikuanzia bajeti Mpya ya serikali ya 2021/2022 ya mwaka wa serikali ambayo itaanza July Mosi, tuwe wavumilivu, mama etu kaonesha Nia[emoji123][emoji123]
 
Tupo wengi ndugu, tunasubiri mwaka mpya wa fedha unaoanzia July!
 
Back
Top Bottom