Kimya cha mshana Jr

Kimya cha mshana Jr

mshana jr yupo kamati ya ufundi ya Daudi Bashite...yupo kwenye picha ya leo wakimtambikia
 
Naomba kuhoji hasa ukizingatia kuwa ni mmoja wa vigogo waandamiz wa jf. Msaada mkubwa Sana Kwa Maada zake za kufikirisha na kukumbusha.. Sijamwona zaid ya week mbili.. Kapatwa na nini au ndo yuko chaka akirudi na story kubwa kama Ile alivoenda Lindi akakutana na jamaa anayekula popote na kutumia Bila kulipa hela. Uncle mshana Jr. Tumekumiss (tumekukosa). Na sio yeye tu wapo wengi ambao toka haya masakata ya kupelekesha kibabe Babe yaanze hatujawaskia. Siwezi kuwataja wote.. Huu upepo utapita tu na jf itarudi kwenye Zama zake za kuchangamka.. Watu wamekuwa wanyonge Sana ni kama tunasubiria kunyongwa. Mixer stress.. Mixer uwoga mixer kuchanganyikiwa.. Popote ulipo kumbuka lolote linatokea, usifanye makosa.. Tupo Zama za hatari kuwahi kutokea.. Take care... Mwenye mawasiliano na mshana Jr amshutue aje kutupa point chache za namna ya kuishi tanzania ya Sasa.. Maana kukutana na mtu anaongea peke yake barabarani sio ajabu tena Kwa kipindi hiki.
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] nimerejea tangu juzi nipo mbona? Nilikuwa kwenye vikao vya mwaka! Tumemaliza Salama kabisa
 
Hebu tafuteni hakuna mtu ameanguka na ungo siku za karibuni. Maana huo ndio usafiri anaopenda isijekuwa kapata ajali.
[emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji102] [emoji31] [emoji31] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom