ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Habari
Nadhani sasa wenzetu Makolo wameanza kujifunza nakujiendesha kisasa kama sisi team ya Wananchi, nadhani wamejifunza kwetu.
Nawapongeza kwa hili
Mwezi wa 6 usajili ulijaa kufukuza na kuingiza ovyo ovyo. Walitimua hadi wachezaji makini na hatari kama Morrisson na Okrah ili kujionesha ati wako makini na usajili
Ila sasa wamestaarabika hawana mbwembwe nadhani wanazingatia ushauri wa Coach, nadhani hii itawasaidia kuambulia japo nafasi ya pili mbele ya Azam
Nawapa heko watani sasa mmeanza kuendesha team kitaalam
Sio msajili magalasa kina kapama, onana, miqson, sawadogo, okwa eti muonekane kwa mashabiki
Nawaombea watani, ili muwe imara sasa tushindane kiwanjani
Sipendezwi na migogoro na uhuni wa viongozi wenu dhidi ya team hii ya simba
NB kumbuka kudai B20
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani sasa wenzetu Makolo wameanza kujifunza nakujiendesha kisasa kama sisi team ya Wananchi, nadhani wamejifunza kwetu.
Nawapongeza kwa hili
Mwezi wa 6 usajili ulijaa kufukuza na kuingiza ovyo ovyo. Walitimua hadi wachezaji makini na hatari kama Morrisson na Okrah ili kujionesha ati wako makini na usajili
Ila sasa wamestaarabika hawana mbwembwe nadhani wanazingatia ushauri wa Coach, nadhani hii itawasaidia kuambulia japo nafasi ya pili mbele ya Azam
Nawapa heko watani sasa mmeanza kuendesha team kitaalam
Sio msajili magalasa kina kapama, onana, miqson, sawadogo, okwa eti muonekane kwa mashabiki
Nawaombea watani, ili muwe imara sasa tushindane kiwanjani
Sipendezwi na migogoro na uhuni wa viongozi wenu dhidi ya team hii ya simba
NB kumbuka kudai B20
Sent using Jamii Forums mobile app