Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Si kawaida yao kuwa kimya kiasi hiki bila tambo wala majigambo kuelekea mechi yao dhidi ya wababe wao Simba. Hawa jamaa ni lazima wako kwenye maombi mazito ya kimya kimya wakiomba kesho dau lao lisizame!!