Kina baba wakibongo huwa mnaogopa kina mama wajawazito?

Hahaha! Kabinti kanaweza kujifunza tabia mbaya! Manake bado tunabebana mgongoni na kukimbizana kama paka na panya!


hayo ya kubebana yapo, hata kwa sisi wazoefu. na watoto wanafurahia sana mkiwa mnacheza mbele yao. utasikia "dad mbebe tena mum", wanacheka na ndio furaha yao
 
Wanawake Ni Wasanii?
PakaJimmy
31st July 2009, 07:41 AM
Awali nilikuwa naambiwa, lakini baadaye nikaja kuhakikisha kwamba Wanawake pindi wawapo wajawazito huwa wasumbufu saana, na wanadeka ajabu!

Mwanamke mmoja akaja kunambia kwamba huwa wanafanya hayo mambo makusudi, maana ni nafasi yao ya pekee ya kutesa, kuomba kila watakacho, na kuwaonyesha mabwana zao kwamba ile shughuli ya kubeba mimba ni ya pekee, maana wanajua kwamba wanaume hawana uzoefu, na wala hawatakaa waijue!

Ni kweli mara chache huwa wanaumwaumwa, lakini asilimia kubwa huwa ni matatizo ya kupangwa na yanaandaliwa na kupikwa kitaalam!

Je wanaJF, tudhibiti vipi hii hali ya kuonewa na hawa raia wa kike?
[/QUOTE][/QUOTE]

sijui kama kuna ukweli au uongo ..unajua inapofikia kipindi kile cha miezi saba ,,....mpaka 9 mtu unakuwa umeanza kuchoka sana yaani unaona kama dunia inakuelemea
sidhani kama ni deko ...
 
hayo ya kubebana yapo, hata kwa sisi wazoefu. na watoto wanafurahia sana mkiwa mnacheza mbele yao. utasikia "dad mbebe tena mum", wanacheka na ndio furaha yao

Lol! I think I have to buy some experience from yourself.
 
[/QUOTE]

sijui kama kuna ukweli au uongo ..unajua inapofikia kipindi kile cha miezi saba ,,....mpaka 9 mtu unakuwa umeanza kuchoka sana yaani unaona kama dunia inakuelemea
sidhani kama ni deko ...[/QUOTE]

FL1, ni kweli hicho kipindi ni kigumu sana na tunahitaji care ya kutosha, lakini kuna wakati wala hujisikii vibaya ila tu unataka kutest kama mtu yupo pamoja nawe au la. ukitaka kujua ukweli chunguza wale wadada ambao hawajaolewa utawaona wanavyodunda miezi yote 9
 
kweli chaku
mie zama hizo nilkuwa na ka mood kangu leo nimeamka na furaha kesho nimenuna kila kitu kibaya mradi visa tu ...
mala mzee ashindwe kutabiri nyakati


haaa mie mwenzenu ya kwanza nilikuwa na kicrani jamani, kwanza nitakacho hata kama hakiwezekani kwa wakati huo nanuna haswaa, wacheni jamani hii mambo.
 
FL1, ni kweli hicho kipindi ni kigumu sana na tunahitaji care ya kutosha, lakini kuna wakati wala hujisikii vibaya ila tu unataka kutest kama mtu yupo pamoja nawe au la. ukitaka kujua ukweli chunguza wale wadada ambao hawajaolewa utawaona wanavyodunda miezi yote 9[/QUOTE]


mdeke bwana mana hapo ndio tunackilizwaga kikweli, watumbembeleze tu mana hawana jinc, mie nilikuwa nadeka balaa na alikuwa anaogopa kunisema mana nuna yake balaa.
 
leo nina blue monday jamani nitarudi hapa ndani kesho
FL1
 

Sio wa kibongo tunakea kupita wazungu! lazima ukimbie gengeni umnunulie udongo wapemba sijui maembe mabichi mara malimao yaani we acha tu
 
Mnanichekesha kweli mie nashukuru MUNGU mlipojaaliwa sikuwa na vibweka vyovyote tena ndo nlikuwa kama sina kitu vile kazi mtindo mmoja ha hata siku ilipofika ah kama naenda kazini vile. Na baba chanja hakuwepo kipindi chote hicho
 
kumbe una kakike, naomba niwe mkweo mpwa, am a guboy, please accept my request
 
Alas! Kumbe ndo wazungu wanavyowahandle wajawazito!
Sasa kina baba wa kibongo tuwe tunaeleza nini kwa kazi kuhusu ujauzito wa wives?
 

humo humo shemeji!
 
atapapasa hilo tumbo kama vile sijui liamie kwake kumjali akiumwa kidogo ndo basi utadhani anaumwa yeye kila kona atakopita leo my wife kawa hivi

Kila mtu anafurahia hali hiyo, ebu tujiulize je hiyo ni mimba ya ngapi....mapenzi lazima yatabadilika, ni sawa na mtoto wa kwanza atakunywa Lactogen, nepi nzuri, kitanda cha kusukuma na vitu vitu vizuri ila wa pili badala ya nepi mwanamke anaambiwa chana kanga kwani nani atafualitilia mtoto ni wetu
 
lakini lile tumbo kuna wakati huwa naogopa kuliangalia!mungu wa ajabu sana.siwezi nikasema natishika lakini dah!
 
kumbe una kakike, naomba niwe mkweo mpwa, am a guboy, please accept my request

kaka Chris usikubali...huyu si ndio yule mwenye ka sidanganyiki kule Moro? au ulisha kaachaga Gudboy?

huyu niece mikiki ya uke wenza hawezi ati...

FL samahani kwa kutoka nje ya mada I hope you don't mind rafiki yangu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…