Unapotosha. Mbona mi ushaninyima sanaNjoo kwangu mpenzi,uchoyo sina
Hahaha😛😛😛 ila usiniendeee Kwa babu yako. Mtoa nguvu za kiume. Tafadhari😀😀😀
Ewaaaaaaa. Okoa jahazi Mwaya.Njoo kwangu mpenzi,uchoyo sina
Sipati picha kule prime M kulivyojaaEwaaaaaaa. Okoa jahazi Mwaya.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kwa kuwa kasema ye sio mchoyo wacha watu waende tu wakajazane huko PM kwa kweli. [emoji2] [emoji2]Sipati picha kule prime M kulivyojaa
Hapana sio sawaNimecheka eti mkaribishwe PM lol. [emoji23] [emoji23].
Ila kwa upande wangu sioni kama kuna tatizo Mkuu sababu kila Member ndio mmiliki wa Id na kila kinachoizunguka huyo Id yake na ana maamuzi kufanya kile ambacho kiko sahihi kwake sidhani kama yana shida yeyote.
Nionavyo we zungumza kwa Herufi kubwa na wale ambao una shida na hizo sijui nyuzi zao wawe wanakufungulia japo kwa mda mchache ili upate kusoma hizo nyuzi zao Mkuu.
Sio sawa nini Mkuu?Hapana sio sawa
Endapo ameolewa ikitokea Mzee amepitia comments ndo chanzo cha kutolewa nundu
KuwakaribishaSio sawa nini Mkuu?
Oooh. Hivyo hukubaliani na hao walioweka limits kwenye Profile zao kufungua ili watu wenye lengo kama la mleta uzi wakaribie. Si eti eee?Kuwakaribisha
Maana wanaume wengi wao wana wivu