Kina dada humu JF Mnaoficha profile zenu tatizo mini?

Kina dada humu JF Mnaoficha profile zenu tatizo mini?

Oooh. Hivyo hukubaliani na hao walioweka limit kwenye Profile zao kufungua ili watu wenye lengo kama la mleta uzi wakaribie. Si eti eee?
Ndiyo naunga mkono japo kwa kivuli cha dini

uislamu hauruhusu

Kwa sababu ni kero sana japo mimi wa kiume ila huwa naskia wadada wakisema hivyo
 
Hahahaaa. Kwa mtazamo wangu kila mmoja na chaguo lake anayeona kufunga ka mie ni sawa ye afunge tu na anayeona kuacha wazi na awache tu sababu kila mmoja ana namna ya upokeaji wa huo tunaoita usumbufu wa watu huko PM.
Hahaha
Inategemea ukiwa ile wasambaa wanaita bonge la chole kwa maana ukiwa mzuri siku zote utasumbuliwa tu huwezi kuachwa
 
Ndiyo naunga mkono japo kwa kivuli cha dini

uislamu hauruhusu

Kwa sababu ni kero sana japo mimi wa kiume ila huwa naskia wadada wakisema hivyo


..aiseee kumbe wengine wanaona ni kero sana kuwafata PM..

Duuuh. kuna mamia ya wenzao wanatamani hata waone sms inbox na hawazioni... Watu wanatofautiana...
 
Back
Top Bottom